Kuamka asubuhi ni changamoto

Kula chakula chepesi na kunywa maji ya kutosha mapema, saa mbili mwisho kula. Maisha ni mipango sahihi sio kukurupuka tu. Ndumba ufanyiwe ya nn sasa mkuu
 
Unakula unashiba vizur hilo ndo tatizo...hauna njaa ya hela
 
Mimi sipatagi usingizi kabisa yaan wewe una raha sana ndio maana huna majukumu yoyote hio ndio sababu ungekua una majukumu usingekua unapata usingizi kabisa yaan hata kulala kwako ingekua tabu

Jipe majukumu ya kutosha tafuta pesa, matajiri wote unaowajua kuanzia MO na wengineo hua wanaamka saa 10 au 11 asubuhi mapema kabisa, sasa wewe mwenzangu na mimi unanogewa na usingizi kiasi hicho una raha gan kwa mfano?

Pole sana

Napita..
 
Endelea kulala mkuu ukiamka utakula ulichoota
 
Sisi wengine hata ucngizi hatuna kisa hatuna kazi

We sema ALHAMDULILLAH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…