Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Pole ila ustaarabu unazidi kupoteza kwa binaadamu aisee tunaenda kuwa kama wanyama ambae anaweza kumpanda mwenzake na kukata mauno mbele ya wazazi wake na hadharani , hivi huyo mzee atashindwa kumfanya mtoto wa nduguye Yani aibu imrmuishia kabisa utu 0, basi aibu huna mwenzio ameomba usimkere na Hilo 0 anaishije na Majirani zake
Nahisi mtu wa Chato huyu bwana masinema
 
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.

Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.

Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Hama siti, hapo kuna ndoano na chambo tayari 😂 😂
 
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.

Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.

Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Atakuwa domo zege tuu kashafagilia mzigo wako sasa anawaza aukingie kwa gear gani.

Ata mie nikiwa kwa bus mrembo kumuanza ni kuingia insta na kuangalia picha za warembo
 
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.

Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.

Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Anatumia kishikwambi hahaa kamshataki kwa Kairuki maana hayo siyo matumizi sahihi
 
Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.

Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.

Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
konda ndie anae onyesha au abiria mwenzio mlio keti nae?
 
Back
Top Bottom