Beauty beauty
Member
- Jan 5, 2023
- 29
- 177
Usipande basi nunua gari lako utakuwa na amani dadangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jiongeze wewe mtu hadi kakupa ishara kwa vitendo huelewi tu. Kwani una miaka 6 wewe?Nasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Kuendesha nayo kazi, sio kila mtu anaweza kwenda safari ndefuUsipande basi nunua gari lako utakuwa na amani dadangu
🤣Eboo chato tena ngoja wakusikie hahahNahisi mtu wa Chato huyu bwana masinema
EvilSpirit jishughulishe kidogo kusoma mambo ya Sheria na wewe usije kuingia matatani. Kumwonyesha mtu picha za ngono ni kosa. Hiyo ni one of the sexual misconductUna uhakika au ni neno linalokupendeza kulitamka na kuliandika
Amkalie mguu pande kwenye basi?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jiongeze wewe mtu hadi kakupa ishara kwa vitendo huelewi tu. Kwani una miaka 6 wewe?
😅😅😅 Unachracteristic zako zinachekeshaga , ndiyo maana unahadithianaga umbea na mumeoAnakutaka huyo 🤣 akimaliza kuangalia atakuwekea wimbo wa amelowa, amelowa!🤣🤣🤣
Nipatie na MimiHiyo ninayo mkuu, ngoja nikupatie PM
Mkuu em nisababishie na mm kama hautojali😬Hiyo ninayo mkuu, ngoja nikupatie PM
ntumie pia mkuuHiyo ninayo mkuu, ngoja nikupatie PM
Yupo hoi , anaangalia tablet kwa jicho la pembeni kutokea kwenye mtandio 😅😅😅Jemima mbona kimyaaa kabisa u hali gani huko kulikoni?
Mtandio hauzuiii sauti! Pole sana I can imagineNasafiri kuelekea Moro, nimepanda Aboud, nimekaa na mtu ana kama 46yrs. Anaangalia ngono na kaweka sauti ya chini.
Ila anatumia tablet havifichiki, huu sio uungana, nimejaribu kumuomba azime, anasema hiyo ndiyo starehe yake.
Nikereka, inabidi nijitande mtandio gubigubi nisione wala nisisikie.
Kusini mwa uwanja kulivyo lowaMtandio hauzuiii sauti! Pole sana I can imagine
Mzigo mkubwa mkuu, umegoma kupanda pmMkuu em nisababishie na mm kama hautojali😬
Naomba nitumie ya hao albinos nionee, plz nitumie kweli.Hiyo ninayo mkuu, ngoja nikupatie PM
Hahahahahahaha yeye alitakiwa ku-ignore kuliko ku-concetrateKusini mwa uwanja kulivyo lowa
Sasa hapo sii lazima anisemeshe kuwa wee kaka acha kuangalia matako ya wanawake...there u have it my frend ice breaker tutaanza kuongea na mwishoe tutavuana kyupiHalafu ukisha ingia insta unampataje demu wa pembeni yako?