Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

Nahisi mtu wa Chato huyu bwana masinema
 
Hama siti, hapo kuna ndoano na chambo tayari πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Atakuwa domo zege tuu kashafagilia mzigo wako sasa anawaza aukingie kwa gear gani.

Ata mie nikiwa kwa bus mrembo kumuanza ni kuingia insta na kuangalia picha za warembo
 
Anatumia kishikwambi hahaa kamshataki kwa Kairuki maana hayo siyo matumizi sahihi
 
konda ndie anae onyesha au abiria mwenzio mlio keti nae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…