Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

ahh kule kwetu uswahilini na wale wenzetu wa dini ile wanasema choon kuna majin..na kuna jini ilo kituo chake cha kazi ni toilet sa siku likitumwa damu na wewe ndo ikawa umeingia na HAUKUJIZATITI (kwa kusema bismilahhhhh...) bas inakula kwako...!!!!1

yaani usali wakat wa kula
wakat wa kulala
ukiingia chooni...sjui ata ukiingia jikon pia kuna sala yake..?
ngoja nkimbie migomigo fats i wl bak wth SUFFICIENT N CREDIBLE ANSWERS
 
ahh kule kwetu uswahilini na wale wenzetu wa dini ile wanasema choon kuna majin..na kuna jini ilo kituo chake cha kazi ni toilet sa siku likitumwa damu na wewe ndo ikawa umeingia na HAUKUJIZATITI (kwa kusema bismilahhhhh...) bas inakula kwako...!!!!1

yaani usali wakat wa kula
wakat wa kulala
ukiingia chooni...sjui ata ukiingia jikon pia kuna sala yake..?
ngoja nkimbie migomigo fats i wl bak wth SUFFICIENT N CREDIBLE ANSWERS

duh! Sista muongo wewe! Chooni hausemi "kwa jina la mwenyezi mungu"{bismillah}
 
ahh kule kwetu uswahilini na wale wenzetu wa dini ile wanasema choon kuna majin..na kuna jini ilo kituo chake cha kazi ni toilet sa siku likitumwa damu na wewe ndo ikawa umeingia na HAUKUJIZATITI (kwa kusema bismilahhhhh...) bas inakula kwako...!!!!1

yaani usali wakat wa kula
wakat wa kulala
ukiingia chooni...sjui ata ukiingia jikon pia kuna sala yake..?
ngoja nkimbie migomigo fats i wl bak wth SUFFICIENT N CREDIBLE ANSWERS
Kweli?
 
Mhhhh... Wote siwapingi, ila kuna tetesi zinasema hivi kutokana na jinsi watu wengi wanavyoanguka huwa ni kunasababishwa na utelezi... Kama vile vyoo vilivyo na majimaji na hata hivi vya kisasa vyenye tails, kwa hiyo basi kuanguka huko huwa asilimia kubwa wanakosa balance na kuanguka kinyumenyume yaani kuangukia chini ya kisogo na hata kisogani na kulingana na mwili wa binadamu ulivyo mawasiliano makubwa yaani ufahamu upo kwenye kisogo hivyo basi, kama mtu akiangukia kisogo husasabisha madhara hayo yaani kufa au kupooza kutokana na mishipa ya fahamu kupasuka au kukatika kabisa. Nawakilisha
 
Mhhhh... Wote siwapingi, ila kuna tetesi zinasema hivi kutokana na jinsi watu wengi wanavyoanguka huwa ni kunasababishwa na utelezi... Kama vile vyoo vilivyo na majimaji na hata hivi vya kisasa vyenye tails, kwa hiyo basi kuanguka huko huwa asilimia kubwa wanakosa balance na kuanguka kinyumenyume yaani kuangukia chini ya kisogo na hata kisogani na kulingana na mwili wa binadamu ulivyo mawasiliano makubwa yaani ufahamu upo kwenye kisogo hivyo basi, kama mtu akiangukia kisogo husasabisha madhara hayo yaani kufa au kupooza kutokana na mishipa ya fahamu kupasuka au kukatika kabisa. Nawakilisha

Nashawishika na jibu lako, lina mantiki.
 
Mhhhh... Wote siwapingi, ila kuna tetesi zinasema hivi kutokana na jinsi watu wengi wanavyoanguka huwa ni kunasababishwa na utelezi... Kama vile vyoo vilivyo na majimaji na hata hivi vya kisasa vyenye tails, kwa hiyo basi kuanguka huko huwa asilimia kubwa wanakosa balance na kuanguka kinyumenyume yaani kuangukia chini ya kisogo na hata kisogani na kulingana na mwili wa binadamu ulivyo mawasiliano makubwa yaani ufahamu upo kwenye kisogo hivyo basi, kama mtu akiangukia kisogo husasabisha madhara hayo yaani kufa au kupooza kutokana na mishipa ya fahamu kupasuka au kukatika kabisa. Nawakilisha

uko sahihi sana mkuu pamoja sio medical personel umejitahidi kuelezea kisayansi fulani. Ukisoma forensic medicine wanaeleza hivyo sasa kwa nyongeza ni kuwa ni kwamba % ya watu wanaoanguka chooni huanguka kinyume nyume na kuangukia kisogo kinachotokea pale ni kuwa kutokana na uzito wa mwili akianguka fuvu hupasuka na unajua likipasuka fuvu nini kitatokea. Wale wanaopalalyse inategemea ameangukaje na force aliyotumia kuanguka nayo. Kwa hiyo chooni hakuna kitu ila ni utelezi unaosababisha kuanguka. Medically tunashauri vyoo visakafiwe non slipperly floor. Na ukiangalia waliowengi wanaoanguka ni wazee na watu wa makamu /wagonjwa hii inaelezwa pia mtu as anaprogress kwa age balance inapungua. Nitajitahidi ni waletee shule nzuri kuhusu hili i promise. Tuachane na fikra za kishirikina. Hasa vyoo vile vya kukaa ndo vibaya zaidi coz lile sink linaact kama panga au kompressor tofauti na vyoo vya shimo au vile vya kuchuchumaa. Nawakilisha.
 
Mhhhh... Wote siwapingi, ila kuna tetesi zinasema hivi kutokana na jinsi watu wengi wanavyoanguka huwa ni kunasababishwa na utelezi... Kama vile vyoo vilivyo na majimaji na hata hivi vya kisasa vyenye tails, kwa hiyo basi kuanguka huko huwa asilimia kubwa wanakosa balance na kuanguka kinyumenyume yaani kuangukia chini ya kisogo na hata kisogani na kulingana na mwili wa binadamu ulivyo mawasiliano makubwa yaani ufahamu upo kwenye kisogo hivyo basi, kama mtu akiangukia kisogo husasabij jibu muruwa kabisa hili. aksante mkuu n gb
 
uko sahihi sana mkuu pamoja sio medical personel umejitahidi kuelezea kisayansi fulani. Ukisoma forensic medicine wanaeleza hivyo sasa kwa nyongeza ni kuwa ni kwamba % ya watu wanaoanguka chooni huanguka kinyume nyume na kuangukia kisogo kinachotokea pale ni kuwa kutokana na uzito wa mwili akianguka fuvu hupasuka na unajua likipasuka fuvu nini kitatokea. Wale wanaopalalyse inategemea ameangukaje na force aliyotumia kuanguka nayo. Kwa hiyo chooni hakuna kitu ila ni utelezi unaosababisha kuanguka. Medically tunashauri vyoo visakafiwe non slipperly floor. Na ukiangalia waliowengi wanaoanguka ni wazee na watu wa makamu /wagonjwa hii inaelezwa pia mtu as anaprogress kwa age balance inapungua. Nitajitahidi ni waletee shule nzuri kuhusu hili i promise. Tuachane na fikra za kishirikina. Hasa vyoo vile vya kukaa ndo vibaya zaidi coz lile sink linaact kama panga au kompressor tofauti na vyoo vya shimo au vile vya kuchuchumaa. Nawakilisha.
kweli kabisa,na kwa kuongezea,kikawaida vyoo huwa vidogo sana ukilinganisha na vyumba vingine,na vitu kama masinki,mabomba huchangia sana kuumia kutokana na kujigonga ukianguka
 
Mhhhh... Wote siwapingi, ila kuna tetesi zinasema hivi kutokana na jinsi watu wengi wanavyoanguka huwa ni kunasababishwa na utelezi... Kama vile vyoo vilivyo na majimaji na hata hivi vya kisasa vyenye tails, kwa hiyo basi kuanguka huko huwa asilimia kubwa wanakosa balance na kuanguka kinyumenyume yaani kuangukia chini ya kisogo na hata kisogani na kulingana na mwili wa binadamu ulivyo mawasiliano makubwa yaani ufahamu upo kwenye kisogo hivyo basi, kama mtu akiangukia kisogo husasabisha madhara hayo yaani kufa au kupooza kutokana na mishipa ya fahamu kupasuka au kukatika kabisa. Nawakilisha

Tunapochangia tusiwe chanzo cha kutengeneza matatizo kama ya udini.Great thinkers nomaly are problem solvers


ni
 
chooni kuna jini Devid Cameroon. Hili ni jini pekee lenye jina la kikristo. Ukiingia chooni usiku na kulikuta likipiga puli, linakupiga mtama kisha linakukameruni.
Ukileta ubishi unakufa kabisaaaa, ukitulia unapata stroke, kudadadadeki

Aisee...
 
Asilimia kubwa watuwakianguka chooni hufariki dunia au kupooza mwili kuna uhusiano gani kati ya kifo na chooni?

Mi ntajaribu kujibu kutokana ninavyoona na wala si tafiti au chapisho lolote hivyo ni mtazamo wangu tu. Mi nadhani asilimia kubwa wanaoanguka bafuni ni watu wazima na umri umekwenda its very rarer kumkuta kijana kaanguka bafuni na kupata stroke. Na matukio mengi kama haya hutokea afrika kuliko mabara mengi. Uchunguzi binafsi unaonesha wengi wanaoanguka bafuni wanakuwa wameenda kwa minajili ya kuoga na asilimia kubwa ni maji ya baridi hivyo basi mwili kutokana na umri unakuwa hauko tayari kubadilishwa joto ghafla na hapo ndio mshtuko hutokea na mwili usijue cha kufanya zaidi ya kukupa stroke au kifo kabisa unapoanguka.. Jamani wazee wetu waoge maji ya uvuguvugu atleast.. Haya ni mawazo yangu tu..
 
Mhhhh... Wote siwapingi, ila kuna tetesi zinasema hivi kutokana na jinsi watu wengi wanavyoanguka huwa ni kunasababishwa na utelezi... Kama vile vyoo vilivyo na majimaji na hata hivi vya kisasa vyenye tails, kwa hiyo basi kuanguka huko huwa asilimia kubwa wanakosa balance na kuanguka kinyumenyume yaani kuangukia chini ya kisogo na hata kisogani na kulingana na mwili wa binadamu ulivyo mawasiliano makubwa yaani ufahamu upo kwenye kisogo hivyo basi, kama mtu akiangukia kisogo husasabisha madhara hayo yaani kufa au kupooza kutokana na mishipa ya fahamu kupasuka au kukatika kabisa. Nawakilisha
ni kwelikabisaaa... Ndo maana sisi waislamu tunaambiwa tutangulize mguu wa kushoto wakati wakuingia chooni ili ukiteleza uangukie nje( fanya majaribio utakubali hii kitu...) na kuomba dua ya kujikinga na mashetani wa chooni na kutoka tutangulize wa kulia( ili ikitokea bahati mbaya umeteleza uangukie nje pia..) na kuomba dua ya kumshuluru mungu kwa kutuondolea maudhi ya haja zetu zilizotupeleka huko.... Ila pia mtume s.a.w. Aliwahi kusema kuwa binadamu angepewa uwezo wa kuona mashetani wa chooni basi angekjisaidia vichakani maisha yake yote. Asante!!
 
ni kwelikabisaaa... Ndo maana sisi waislamu tunaambiwa tutangulize mguu wa kushoto wakati wakuingia chooni ili ukiteleza uangukie nje( fanya majaribio utakubali hii kitu...) na kuomba dua ya kujikinga na mashetani wa chooni na kutoka tutangulize wa kulia( ili ikitokea bahati mbaya umeteleza uangukie nje pia..) na kuomba dua ya kumshuluru mungu kwa kutuondolea maudhi ya haja zetu zilizotupeleka huko.... Ila pia mtume s.a.w. Aliwahi kusema kuwa binadamu angepewa uwezo wa kuona mashetani wa chooni basi angekjisaidia vichakani maisha yake yote. Asante!!

doto acha story za ajabu, sasa kwa kawaida choo huwa hakipo mlangoni kwa hiyo sioni hizo taratibu kama ni msaada, wewe unasema wakati wa kuingia, mara nyingi watu wengi huanguka wakati wa kutoka chooni na hivyo kuangukia kwenye sink.
 
Back
Top Bottom