Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wana jf.Naamini humu ndani tupo tofauti tofauti na kila mmoja kajaliwa karama pekee na mola wetu.Kwa hivyo basi ujuaji wako ndo karama yako ya ufahamu wako..Sasa back to the topic ni kwamba ni kwamba rafki yangu kafiwa na shangazi yake,chanzo alianguka chooni wakati alipo enda kujisaidia..sasa baada ya kuanguka huyu marehem mama mdomo wake ulikaa upande akapelekwa Hospitali ya Temeke,akalazwa kwa matibabu.Baada ya wk mbili na nusu huyo Mama (marehemu sasa)akafariki.Sasa kinachonifanya niiwasilishe hii thread.,ni kuwa taarifa kama hizi kwangu mimi zishanishawishi niamini mtu akianguka chooni huku town basii huyo ni kifo tuu.Hebu basi wenye ufaham,ushuhuda kama huu na uelewa wa mambo kama haya au yanayohusiana na kuanguka chooni/bafuni baada ya hapo unaugua au kufa,basi tutiririke kuringana na ujuzi,uelewa na ufahamu tulio jaaliwa.Rest in Peace.Shangazi.
Jamani wana jf.Naamini humu ndani tupo tofauti tofauti na kila mmoja kajaliwa karama pekee na mola wetu.Kwa hivyo basi ujuaji wako ndo karama yako ya ufahamu wako..Sasa back to the topic ni kwamba ni kwamba rafki yangu kafiwa na shangazi yake,chanzo alianguka chooni wakati alipo enda kujisaidia..sasa baada ya kuanguka huyu marehem mama mdomo wake ulikaa upande akapelekwa Hospitali ya Temeke,akalazwa kwa matibabu.Baada ya wk mbili na nusu huyo Mama (marehemu sasa)akafariki.Sasa kinachonifanya niiwasilishe hii thread.,ni kuwa taarifa kama hizi kwangu mimi zishanishawishi niamini mtu akianguka chooni huku town basii huyo ni kifo tuu.Hebu basi wenye ufaham,ushuhuda kama huu na uelewa wa mambo kama haya au yanayohusiana na kuanguka chooni/bafuni baada ya hapo unaugua au kufa,basi tutiririke kuringana na ujuzi,uelewa na ufahamu tulio jaaliwa.Rest in Peace.Shangazi.
huyu ilikuwa ni siku yake ya kufa tu wala usiogope mkuu unaweza ukaangukia medula ukafa sababu ni sehemu sensitive mwilini kwa hiyo mkuu ondoa kabisa hizo fikra..
Hapana bado hujanishawishi kabisa kuondoa fikra zangu hapo.kwa sababu huyu aliefariki sii mtu wa kwanza kusikia kaanguka chooni.ni wengi tuu ambao nilishawahi kuambiwa vifo vyao vilitokana na kunguka chooni.Yaani baada ya wiki/miezi au mwaka hadi miaka baada ya kuugua sana,unaambiwa marehem aliugua sana na mwisho akafariki lkn ugonjwa na umauti ulimpata baada ya kuanguka chooni/bafuni.huyu ilikuwa ni siku yake ya kufa tu wala usiogope mkuu unaweza ukaangukia medula ukafa sababu ni sehemu sensitive mwilini kwa hiyo mkuu ondoa kabisa hizo fikra..
Basi chooni sii mahala salama kama Kanisani,Msikitini,Bar's,Restaurant's,Casino's,Hotel's,Guest House'sPia tunatakiwa..tukisha maliza haja ufanye utoke ..pia mambo ya kuimba chooni ni mabayakabisa..kuna viumbe humo ndo makaazi yao..so unapomaliza toka..
Bibie charminglady Kuanguka kwaAione MziziMkavu kwa ufafanuzi zaidi.....