Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Kimazoea vyoo vinatengenezwa katika nafasi ndogo kieneo ukilinganisha na chumbani au sebureni. Ivyo basi ikitokea umeteleza chooni kwa sababu ya udogo wa eneo la chumba cha choo katika kuyumba wakati wa kutafuta balance ya kusimama imara kuna uwezekano mkubwa ukajibamiza ukutani katika maeneo ya hatari mwilini mfano uti wa mgongo au kichwani tofauti na ukiteleza chumbani au sebureni kuna nafasi kubwa ya kutafuta balance ya kusimama bila kufika ukutani.
 
Choo cha nje nacho ni choo mkuu. Mtoa mada amesema choo kwa ujumla hajasema choo cha nje au ndani
Sawa lakini kuna watu wanaamini kuwa hutakiwi kujenga choo cha ndani eti kuna mapepo machafu na huwezi ukakaa nayo ndani lazima choo ujenge nje
 
Back
Top Bottom