Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Hao majini unao wa ngangania ni kwamba kwanini wanawaangusha watu wa above 50 pekee vipi chini ya hapo hawaonekani?nahisi unashindwa kufanya uchambuzi kwenye hvi visa! skatai kwamba hamna normal stroke ambayo ukianguka iwe kwa kichwa na sehemu nyingne za mwili au ujimwagie maji! some guys mbona hupiga mbizi kwenye swimming na hakuna effect yyte ile🙂 issue ni kwamba ww unabisha stroke ya majini ya chooni haipo..! mungu muweza wa yote kupitia mitume yake na vitabu akaweka hii dua kwa maana ndugu