Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

Kuanguka chooni/bafuni na kufa, kuna uhusiano gani?

nenda tandika, tandale kwa mtogole, kigogo au mwananyamala kajiangushe kwenye choo chochote cha 'passport size' ndani ya wiki lete mrejesho
Nijiangushe ili iweje c itakua ukichaa huo,Mimi uwa naanguka bila kutarajia lakini sijawahi kupata hizo shida
 
sio kwa maisha ya sasa mkuu! kma ww mtaalam naamini utathibitisha hili! bado sjaelewa hoja yko? kwamba unapinga majini ya chooni na stroke zake, au those stroke ni above 50 kwa mujibu wa gazeti lako.🙂
Nyie waamini ushirikina ndio mnakutana na shida kama hizo,bibi yangu alianguka chooni akapata stroke watu Kariba yenu wakatushauri apelekwe kwa waganga eti tukimpeleka hospital akichomwa sindano tu lazima afe ..tuliziba masikio tukampeleka hospital kapata matibabu leo hii ni mzima wa afya
 
Nyie waamini ushirikina ndio mnakutana na shida kama hizo,bibi yangu alianguka chooni akapata stroke watu Kariba yenu wakatushauri apelekwe kwa waganga eti tukimpeleka hospital akichomwa sindano tu lazima afe ..tuliziba masikio tukampeleka hospital kapata matibabu leo hii ni mzima wa afya
Nchi hii inasafari ndefu sana. Mbaya zaidi ukishaamini uchawai huwezi kufanya jitihada zozote za kutumia akili kujikwamua.
 
Sasa tushike lipi na tuache lipi mkuu, maana wengine wanasema maji ya baridi ndio yanasababisha madhara na wewe umesema hapa kwamba maji ya moto yanasababisha mishipia kutanuka hivyo pressure kushuka na mtu kuanguka, sasa tumuamini nani katika hili?
Maji ya moto ndiyo huleta shida. Na hata wanaotumia dawa za kushusha pressure hawashauriwi kuoga maji ya moto sana.
 
Nchi hii inasafari ndefu sana. Mbaya zaidi ukishaamini uchawai huwezi kufanya jitihada zozote za kutumia akili kujikwamua.
Siku zote ukiamini ushirikina ni ngumu mno kupata maendeleo,ukijikwaa kidogo tu safari kwa mganga..
Watu wengi sana wamekufa kwa uzembe wa kuamini ushirikina unasumbuliwa na magonjwa ya kutibika hospital unapelekwa kwa mganga
 
ni kwelikabisaaa... Ndo maana sisi waislamu tunaambiwa tutangulize mguu wa kushoto wakati wakuingia chooni ili ukiteleza uangukie nje( fanya majaribio utakubali hii kitu...) na kuomba dua ya kujikinga na mashetani wa chooni na kutoka tutangulize wa kulia( ili ikitokea bahati mbaya umeteleza uangukie nje pia..) na kuomba dua ya kumshuluru mungu kwa kutuondolea maudhi ya haja zetu zilizotupeleka huko.... Ila pia mtume s.a.w. Aliwahi kusema kuwa binadamu angepewa uwezo wa kuona mashetani wa chooni basi angekjisaidia vichakani maisha yake yote. Asante!!
Hata kama umetaja uislamu wallahi sikuachi lazima nikuulize.

Vyoo vya zamani vya waarabu kwanza havikuwa na tails,hivyo suala la kuteleza lilikuwa ni nadra unatelezaje kwenye mchanga tu.

Kwa sababu zamani za mtume hata misikiti ilikuwa hakuna mazuria,manake ni kuwa huko chooni ndo kabisa kulikuwa udongo mtupu.

Hivyo suala la kuteleza halikuweko kabisa kwamba eti utangulize mguu gani.

tutangulize mguu wa kushoto wakati wakuingia chooni ili ukiteleza uangukie nje( fanya majaribio utakubali hii kitu...)
Msikitini tumeambiwa tutangulize mguu wa kulia tunapoingia,unataka kuniambia lengo tukiingia msikitini kama tunateleza tutelezee nje sio ?

kutoka tutangulize wa kulia( ili ikitokea bahati mbaya umeteleza uangukie nje pia.
Mechanism ya kuteleza ni kuwa direction ya mguu inaenda kinyume na unapotelezea.

Kama unatembea ukipiga hatua sehemu kuna utelezi ile hatua manake mguu umeenda mbele,mguu ukienda mbele mwili utaangukia nyuma.

Sijawahi kuona mtu anatembea kwenda mbele alafu akaanguka mwili uko mbele yaani akaangukia uso labda atembee kinyume nyume.

Sasa kwa nini ukitanguliza mguu wa kushoto ukiteleza unaangukia nje alafu ukitanguliza wa kulia ukiteleza unaangukia ndani ?
 
Hata kama umetaja uislamu wallahi sikuachi lazima nikuulize.

Vyoo vya zamani vya waarabu kwanza havikuwa na tails,hivyo suala la kuteleza lilikuwa ni nadra unatelezaje kwenye mchanga tu.

Kwa sababu zamani za mtume hata misikiti ilikuwa hakuna mazuria,manake ni kuwa huko chooni ndo kabisa kulikuwa udongo mtupu.

Hivyo suala la kuteleza halikuweko kabisa kwamba eti utangulize mguu gani.


Msikitini tumeambiwa tutangulize mguu wa kulia tunapoingia,unataka kuniambia lengo tukiingia msikitini kama tunateleza tutelezee nje sio ?


Mechanism ya kuteleza ni kuwa direction ya mguu inaenda kinyume na unapotelezea.

Kama unatembea ukipiga hatua sehemu kuna utelezi ile hatua manake mguu umeenda mbele,mguu ukienda mbele mwili utaangukia nyuma.

Sijawahi kuona mtu anatembea kwenda mbele alafu akaanguka mwili uko mbele yaani akaangukia uso labda atembee kinyume nyume.

Sasa kwa nini ukitanguliza mguu wa kushoto ukiteleza unaangukia nje alafu ukitanguliza wa kulia ukiteleza unaangukia ndani ?
Utakumbuka kutanguliza sijui mguu gani . Kama tu hujabanwa vizuri. Umebanwa uharo utakumbuka nini ?!

Vifo vya bafuni na chooni ni pressure . Hakuna cha nini
 
Hiyo huwa ni stroke, pressure inaweza kuwa juu halafu ukajimwagia maji baridi. Unaambiwa uanze kujimwaGia maji miguuni kwanza kabla ya ki chwa
Wewe lazima utakua ni dactari kama sio basi ungesomea ungekua docta mzuli
 
Ajali za kuanguka na kufariki bafuni mara nyingi husababishwa na tatizo linaloitwa kitaalamu (brain aneurysm),mishipa ya damu inapasuka kichwani na kuvujia damu kwenye ubongo...chanzo chake inakuwa ni kwamba mtu anapokuwa anaingia bafuni na kujimwagia maji yabaridi, mishipa ya damu iliyopo kwenye sehemu ya ngozi husinyaa kwa ghafla na kusababisha presha ya damu kuwa kubwa kwenye viungo vya ndani ya mwili hususani kwenye ubongo na tatizo hutokea..inawapata sana watu wenye matatizo ya pressure.
 
Wataalamu wa medical watakuja na theories mbali mbali kujaribu kutoa majibu ya chanzo cha kuanguka chooni au bafuni lakini hawatakuja na majibu yalionyooka.

kuna jamaa yangu mmoja alianguka chooni mida ya jioni, anasema yeye hata haelewi ilikuwaje maana baada ya kumaliza kufanya mambo yake alistuka yuko chini ya mlango wa choo na wakati huo hana meno mawili ya mbele, yaani yameng'oka na wala hayajafunjika hata kidogo wala damu chini hakuna ila meno hana.

Na jamaa yuko fiti hakuwa na tatizo lolote zaidi ya meno kutoka, lakini kilicho mshangaza sana wala hakuwa na maumivu yoyote.

Kama wengine waliotangulia kusema chooni la lango la kuzimu, na wote tunajua kuzimu ni makazi ya mapepo au majini, sasa unapokwenda chooni kuna uwezekano mkubwa ukakumbana nayo maana pale ni mlangoni kwao, sasa kama uko weak kiroho ni rahisi kukushambulia,

lakini kwa vile ni mlangoni wa mapepo na majini wale maadui zako ambao wemekutegeshea, ni rahisi kukutegeshea kule maana lazima utaenda tu, kwa hii kimedical ni ngumu kuilezea maana wao hawadili na mapepo na majini hivyo sioni kosa pale wanapojaribu kutoa maelezo mbali mbali kwa wagonjwa wao.
 
ahh kule kwetu uswahilini na wale wenzetu wa dini ile wanasema choon kuna majin..na kuna jini ilo kituo chake cha kazi ni toilet sa siku likitumwa damu na wewe ndo ikawa umeingia na HAUKUJIZATITI (kwa kusema bismilahhhhh...) bas inakula kwako...!!!!1

yaani usali wakat wa kula
wakat wa kulala
ukiingia chooni...sjui ata ukiingia jikon pia kuna sala yake..?
ngoja nkimbie migomigo fats i wl bak wth SUFFICIENT N CREDIBLE ANSWERS
mh kwanza lazma utwambie ni mtu wa imani gani ,maana sisi waislam tukienda chooni kuna dua zake na si kusema bismillah
 
pona pona yako unapata stroke/kiharusi, hii watu weng sana imewatoke. Sababu ya hii inaelezeka hata kisayansi, imani nyingne naskia ipo ila mimi sina fact. Na hii ya kufa mi sijui
Nonesense. MTU anapata stroke ndio anadondoka
 
Zama hizi za Sayansi na tekelinalokujia still bado kuna watu wanaamini hizi myth
 
Msikilize shehe mstaafu hapa chini
 
Kwa hiyo tusijenge vyumba vya self container,tujenge vyoo kwa nje
 
Asilimia kubwa watu wakianguka chooni hufariki dunia au kupooza mwili. Kuna uhusiano gani kati ya kifo na chooni?
Chooni na bafuni wanategeshwa majini na mapepo wabaya sana kudhuru watu!
 
Back
Top Bottom