Kuanguka kwa CUF na kuanguka kwa CHADEMA hakurandani

Kuanguka kwa CUF na kuanguka kwa CHADEMA hakurandani

Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Kikubwa Cdm bado ni wamoja.

Hao wanaoviua vyama vya upinzani kwani wana nia njema na nchi hii ?!!
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Tuseme bye bye kwa jiwe
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Utasubiri sana, CDM ni imara kuliko jana!
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Mwendazake alidhamiria kuiua Chadema kaondoka yeye kaiacha inaimarika. Nawe mleta uzi utasubiri sana na kwa uzi unazidi kuiimarisha Chadema. "Sorry for disappointing you".
 
Sio nafurahia CCM wana mbinu nyingi ,si inajulikana waliisaka CUF tokea kuwanyima wabunge nchi nzima na mmeona CHADEMA imenyimwa wabunge na kama haitoshi mbinu ya CCM wanaojificha nyuma ya polisi,inajulikana wazi kaama polisi wanawakingia kifua CCM, wamemwinda Mbowe na kumlia timing mpaka wamemtia mkononi ,nina uhakika hatoki.
 
Sio nafurahia CCM wana mbinu nyingi ,si inajulikana waliisaka CUF tokea kuwanyima wabunge nchi nzima na mmeona CHADEMA imenyimwa wabunge na kama haitoshi mbinu ya CCM wanaojificha nyuma ya polisi,inajulikana wazi kaama polisi wanawakingia kifua CCM, wamemwinda Mbowe na kumlia timing mpaka wamemtia mkononi ,nina uhakika hatoki.
Mbowe atatoka kishujaa. Ni suala la mda tu.
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Ni Chadema ipi imekufa! Ni hii ambayo juzi huko Kyela Mbeya polisi waliwakataza kufanya mkutano wa ndani?
Mkoloni mwingereza hakuwahi kuweka watu ndani au kuwakataza kufanya mikutano kama ilivyo sasa. Kumbuka kuna wakati viongozi wake wote walifungwa kwa makosa hii kwa mujibu wa mahakama lakini chama kiliendelea, Chadema siyo Mbowe wala Lijualikali, Covid 19 wako bungeni bila chama na Chadema ipo na itakuwepo.
 
Mbowe atatoka kishujaa. Ni suala la mda tu.
Unaota kesi ya Ugaidi isikie hivyo hivyo ukiikwaa mwisho yaani imeisha basi ka miaka kumi au zaidi labda atokee Raisi aaamue kuwaachia wafungwa huru au kufuta kesi zilizochukua muda mrefu, hapa ujue ipo kazi labda wananchi kwa ujumla wao wafanye maandamano kuiangusha CCM madarakani
 
Mwendakuzimu aliekua mwendawazimu na file Milembe aliwahi ota ndoto Kama hiyo lakini akafa yeye CHADEMA Bado ipo TU
Naona na wewe unataka ota ndoto hiyo yenye maruwe ruwe ya kutisha
Hebu amka kumekucha usije kojoa kitandani!
 
Back
Top Bottom