Kuanguka kwa CUF na kuanguka kwa CHADEMA hakurandani

Kuanguka kwa CUF na kuanguka kwa CHADEMA hakurandani

Utasubiri sana, CDM ni imara kuliko jana!
Huyo jamaa mleta mada nadhani ndiyo kwanza ameingia mjini juzi na kujua matumizi ya smartphone.

Maana kama anaelewa vizuri hayo mapambio yake yalipo anzia angekaa kimya
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
How much are they paying you? Nadhani unapost threads kama 200 kutwa. Jinga kabisa. Labda afe baba yako, CDM haifi
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
ACT hakuna kitu,ni wale wale tu,
Chadema ni idea,ideology ipo vichwani na mioyoni mwa watu,uwezi kuua idea,Mawazo.
 
Binafsi siamini kqma chadema ikifa watu wanaweza kwenda Act
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Hakuna wa kuiondoa chadema kama tu jiwe alishindwa hadi kaenda zake
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Kwa taarifa yako ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola vina mpango wa muda mrefu wa kuiua cdm, kisha waweke chama mbadala kitakachofanya siasa zinazokubalika na ccm. ACT ndio waliandaliwa kupewa nafasi hiyo, bahati mbaya kizazi hiki sio cha zama za kuchaguliwa chama na ccm. Alipoingia Magufuli madarakani anavuruga huo mpango kwa kubaka demokrasia.

Kwa sasa hao ACT wanaweza kulazimishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani, ila sio kwa ushawishi, maana hata ccm yenyewe haina ushawishi tena. Inshort wanachojaribu kufanya ccm kutumia vyombo vya dola kufanya siasa, na hatari zaidi kwao kuliko wanachojaribu kutengeneza. Hiki ni kizazi tofauti, kama ccm ilifanikiwa huko nyuma, sio kwa nyakati hizi.
 
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.

Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.

ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.

Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
2183704_IMG_1183.jpg
 
Back
Top Bottom