Huyo jamaa mleta mada nadhani ndiyo kwanza ameingia mjini juzi na kujua matumizi ya smartphone.Utasubiri sana, CDM ni imara kuliko jana!
How much are they paying you? Nadhani unapost threads kama 200 kutwa. Jinga kabisa. Labda afe baba yako, CDM haifiWafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.
Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.
ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.
Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
ACT hakuna kitu,ni wale wale tu,Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.
Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.
ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.
Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Hakuna wa kuiondoa chadema kama tu jiwe alishindwa hadi kaenda zakeWafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.
Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.
ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.
Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Kwa taarifa yako ccm kwa kushirikiana na vyombo vya dola vina mpango wa muda mrefu wa kuiua cdm, kisha waweke chama mbadala kitakachofanya siasa zinazokubalika na ccm. ACT ndio waliandaliwa kupewa nafasi hiyo, bahati mbaya kizazi hiki sio cha zama za kuchaguliwa chama na ccm. Alipoingia Magufuli madarakani anavuruga huo mpango kwa kubaka demokrasia.Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.
Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.
ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.
Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?
Wafuasi wa Chadema wameanza kuikodolea macho ACT wazalendo baada ya kuona hatma ya Chama chao imeanza kuota mizizi na haina tofauti sana na ile iliyopelekea CUF kuvurugwa na kuchawanyika pande mbili.
Ni wazi sasa Chama kikuu kinaelekea kuwa zamu ya ACT Wazalendo maana tayari Chadema inakatwa kichwa ,kwani ilikuwa ni Joka la mdimu linalotishia uhai wa Mfalme CCM.
ACT jipangeni kupokea viongozi waandamizi wa CHADEMA ,naiona Tanzania itakayokuwa na vyama viwili hadi vitatu vya siasa.
Kile Chama kimoja juzi kiongozi wake mkuu ameonyesha kuwa na mori wa hasira(NCCR) ,hivi hawa wamekasirika au wamekasirishwa ?