Kuanza project ya kuku Machi, 2023

Kuanza project ya kuku Machi, 2023

Habari wapendwa mimi ni mjasiliamali hua najishighulisha na kilimo na ufugaji tangu nimalize chuo sikuhitaji ajira kivile ingawa mwanzo tu nilipo graduate niliajiliwa compuni moja binafsi ila sikukaa sana nikaacha nikaamua kulima. Nimeshalima mazao mbalimbali iñgawa nilipitia changamoto fulani fulani ila changamoto kubwa niliojifunza ni Mtaji.

Kilimo ni PESA kama huna mtaji mkubwa acha kulima borà ununue mazao otherwise utatumia muda mwingi kukusanya mtaji katika kilimo sabab si kila mwaka utapata utajikuta unaanguka kila mara na kuinuka.Binafsi nimeamua kuwekeza ktk ununuaji wa mazao na kueka stoo na ninaanza na Mpunga wa milion 40.

Utaàlam wa kujua mpunga mźuri ninao pia ukweni kwangu ndio biashara yao kuu ni wakulima wazuri mno wa mpunga sijaamua kulima sabab ya hii project ya kuku ninayotaka kuianza hapa nyumban.sitaki kukosa hata siku moja ktk usimamizi so niliona sitaweza kulima kilimo cha remote nime opt ninunue mazao wakati wa mavuno na kuuza baadae. Hiyo pesa nimajiwekea niizungushe kwa miaka 3-5 bila kuigusa ijizungushe yenyewe kwa miaka kadhaa.

Upande wa kuku ninao kuku wa kienyeji wachache kama 60 ikiwa chotara ni 40 tetea 10jogoo na kienyeji pure nilikua nao tu wapa home wanataga ninano jogoo 1 na tetea 9. Hivyo kienyeji nitaanza nao haohao 60 sabab sitak ku base sana ktk kienyeji sabab nimeshakua nao hakuna jinsi nitaendelea nao mdogomdogo.

KUKU WA MAYAI hii ndo project ninayotaka kuianza nina eneo la kutosha lina fance na limejitenga kwa maana kuna ukuta katikati kutenganisha uani kwangu na huo uwa wa pili ni kama 11m x 25m. Tulipozungushia ukuta mwanzon nilitaka kukata vyumba vya wapangaji ila baadae tukaamua na mr niweke kuku kwanza

Natarajia kuanza na kuku 550 wa mayai then nitaendelea kutanua banda kidogo kidogo kufikia kuku 2000 kwa hapa home .ufugaji ni ktk cage kuanzia vifaranga hadi kuku wakubwa. Ingawa sijajua vizuri ukubwa huu wa eneo utaingia cage ngapi but nitahakikisha wanafika 2000 hata ikibidi kutumia cage za mayai 128
Kuju hawa hawataingiliana na hawa wa kienyeji as wa kienyeji wapo ktk banda lao upande wa uwan kwangu.
Mtaji wa hao kuku 550 hadi kufikia kutaga sio shida as nina akiba ya 7milion na Mr atanibust 100% hiyo milion 7 yangu ni akiba yangu tu nikitoa pesa ya mazao nitaiweka kama emergency.

Ķwa nini nimekuja hapa
Nimekuja ili mnitie nguvu na kila nikiiona hii thread niwe nàfarijika na kutokata tamaa.sabab tumejarib ufugaji wa mbali nje ya mji ila wasimamizi walinivunja moyo nina ekari karibia 30 pwani ila nimefail kuliwekezea kwa kukosa usimamizi mzuri.hapo baadae nitalichimbia kisima nilime mahindi kwa ajili ya chakula cha hawa kuku nitaoanza nao hapa home.

Kwa wazoefu wa kuku wa mayai nambeni ushauri wenu na ujuzi wenu je ili kuku wa mayai wakulipe vizuri unatakiwa uwe na kuku wangapi?
Weka bidii utafanikiwa,Kila la heri kwako
 
Nakupongeza sana kwa hatua uliofikia, ufugaji wa kuku wa mayai ndo uliowapa utajiri wazazi wangu na kutusomesha watoto wote, tukiwa nyumbani kazi yetu ilikuwa kuokota mayai na kuosha vyombo vya kuku.

Wazee walikuwa wanauza bei ya kawaida hivyo wateja wengi wa jumla walikuwa wanajazana asa wale wakulya wa kuendesha Baiskeli, pia alikuwa na oda maalumu kwenye hoteli.

Jambo la kuzingatia ambalo niliojifunza kwao:

1. usimamizi wa karibu mno, yaani ni kuacha kazi ili ufanye kazi, akikisha unawapa majani, usitegemee madawa tu ya vitamini, ukitumia majani mayai yanakuwa na rangi nzuri na pia majani uwa ni dawa kwa kuku kwnye magonjwa mengine.

2. Kuku yoyote anayekufa, muite daktari ili amchunguze na kujua chanzo, hii inasaidia kuokoa mifugo iliyobaki na inakupa uzoefu wa kutambua ugonjwa huo ukitokea tena.

3. Zuia muingiliano wa watu kwenye mabanda yako kuokoa magonjwa.

4. Kuwa makini na chakula, maana inachangia sana kwenye ukuaji wa kuku wako.
Nashukuru kwa huu ushauri nitaufanyia kazi asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitambue changamoto Ili ujue jinsi ya kuzikabili mfano elewa formula za kutengeneza chakula na additives zake pia fanya tafiti zile farms zinazofanya vizuri wapo vijana pale unaweza kumpoza kidogo akakupa formula za chakula ambazo zipo konki ikakusaidia kuokoa ghalama za chakula Kwa kutengeneza mwenyewe,.pia upande wa disease control na biosecurity hapa mambo Kwa sasa yameadvance sana ukijitahidi hapa utafikia kiwango Cha 0% ya mortality rate ni vyema ujue dawa hii inatumikaje kama preventive na control certain disease Kwa umri upi wa kuku na Kwa muda Gani bahati mbaya vets shop nyingi wengi wanaouza dawa sio maexpert wa fani usika ,mwisho usisahau kutenga eneo la bustani Kwa ajili ya majani ya kuku angalau waweze kupata majani Kwa siku 4-5 Kwa siku.
Nashukuru nimejifunza kuchanganya chakula mwenyewe ila bado naendelea kujifunza hadi nipate formula konki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrejesho tafadhari mtoa mada...

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nilishaanza ingawa nilichelewa kupokea kuku wa mayai nimepokea may kwa sasa wana wiki 6.wapo vizuri sijakutana na changamoto yeyote hii kwa wa mayai.

Kwa kienyeji chotara nilipata changamoto kidogo madume ni mengi kuliko majike nimejikuta napata jike 13 out of 40 niliotegemea hivyo ninampango wa kuuza jogoo zilizozid.kati ya majike 13 napata mayai 11 kila siku nimekusanya mayai 80 hapa nitakusudia kupata vifaranga chotara walau 50 vya kutotolesha na sasa nakusanya ya kuuza
Kienyej pure pia hawajabaki nyuma wamenipa vifaranga 11 3moth now na 24 3weeks now.wanaongezeka taratib taratib.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishaanza ingawa nilichelewa kupokea kuku wa mayai nimepokea may kwa sasa wana wiki 6.wapo vizuri sijakutana na changamoto yeyote hii kwa wa mayai.

Kwa kienyeji chotara nilipata changamoto kidogo madume ni mengi kuliko majike nimejikuta napata jike 13 out of 40 niliotegemea hivyo ninampango wa kuuza jogoo zilizozid.kati ya majike 13 napata mayai 11 kila siku nimekusanya mayai 80 hapa nitakusudia kupata vifaranga chotara walau 50 vya kutotolesha na sasa nakusanya ya kuuza
Kienyej pure pia hawajabaki nyuma wamenipa vifaranga 11 3moth now na 24 3weeks now.wanaongezeka taratib taratib.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ebu niambie starter umetumia mifungo mingp kwa idad kuku mia tano
 
Habari wapendwa mimi ni mjasiliamali hua najishighulisha na kilimo na ufugaji tangu nimalize chuo sikuhitaji ajira kivile ingawa mwanzo tu nilipo graduate niliajiliwa compuni moja binafsi ila sikukaa sana nikaacha nikaamua kulima. Nimeshalima mazao mbalimbali iñgawa nilipitia changamoto fulani fulani ila changamoto kubwa niliojifunza ni Mtaji.

Kilimo ni PESA kama huna mtaji mkubwa acha kulima borà ununue mazao otherwise utatumia muda mwingi kukusanya mtaji katika kilimo sabab si kila mwaka utapata utajikuta unaanguka kila mara na kuinuka.Binafsi nimeamua kuwekeza ktk ununuaji wa mazao na kueka stoo na ninaanza na Mpunga wa milion 40.

Utaàlam wa kujua mpunga mźuri ninao pia ukweni kwangu ndio biashara yao kuu ni wakulima wazuri mno wa mpunga sijaamua kulima sabab ya hii project ya kuku ninayotaka kuianza hapa nyumban.sitaki kukosa hata siku moja ktk usimamizi so niliona sitaweza kulima kilimo cha remote nime opt ninunue mazao wakati wa mavuno na kuuza baadae. Hiyo pesa nimajiwekea niizungushe kwa miaka 3-5 bila kuigusa ijizungushe yenyewe kwa miaka kadhaa.

Upande wa kuku ninao kuku wa kienyeji wachache kama 60 ikiwa chotara ni 40 tetea 10jogoo na kienyeji pure nilikua nao tu wapa home wanataga ninano jogoo 1 na tetea 9. Hivyo kienyeji nitaanza nao haohao 60 sabab sitak ku base sana ktk kienyeji sabab nimeshakua nao hakuna jinsi nitaendelea nao mdogomdogo.

KUKU WA MAYAI hii ndo project ninayotaka kuianza nina eneo la kutosha lina fance na limejitenga kwa maana kuna ukuta katikati kutenganisha uani kwangu na huo uwa wa pili ni kama 11m x 25m. Tulipozungushia ukuta mwanzon nilitaka kukata vyumba vya wapangaji ila baadae tukaamua na mr niweke kuku kwanza

Natarajia kuanza na kuku 550 wa mayai then nitaendelea kutanua banda kidogo kidogo kufikia kuku 2000 kwa hapa home .ufugaji ni ktk cage kuanzia vifaranga hadi kuku wakubwa. Ingawa sijajua vizuri ukubwa huu wa eneo utaingia cage ngapi but nitahakikisha wanafika 2000 hata ikibidi kutumia cage za mayai 128
Kuju hawa hawataingiliana na hawa wa kienyeji as wa kienyeji wapo ktk banda lao upande wa uwan kwangu.
Mtaji wa hao kuku 550 hadi kufikia kutaga sio shida as nina akiba ya 7milion na Mr atanibust 100% hiyo milion 7 yangu ni akiba yangu tu nikitoa pesa ya mazao nitaiweka kama emergency.

Ķwa nini nimekuja hapa
Nimekuja ili mnitie nguvu na kila nikiiona hii thread niwe nàfarijika na kutokata tamaa.sabab tumejarib ufugaji wa mbali nje ya mji ila wasimamizi walinivunja moyo nina ekari karibia 30 pwani ila nimefail kuliwekezea kwa kukosa usimamizi mzuri.hapo baadae nitalichimbia kisima nilime mahindi kwa ajili ya chakula cha hawa kuku nitaoanza nao hapa home.

Kwa wazoefu wa kuku wa mayai nambeni ushauri wenu na ujuzi wenu je ili kuku wa mayai wakulipe vizuri unatakiwa uwe na kuku wangapi?
USHAURI USHAURI.

Anza na kuku 250 au 300 badala ya kuku 550.

Kuku ni mradi usiokuwa na majibu ya 100% kabla ya kuanza na kuona uhalisia.

Mtandaoni huwezi kujifunza kila jambo.

Utakapoanza na kuku 250 kwako litakuwa darasa la vitendo.

Ukibahatika kuwakuza wote kwa pamoja itakuwa funzo na utakuwa umejifunza kipi umetumia kuwakuza wote.

Na ikitokea wamekufa pia utakuwa umejifunza wapi umekosea na kipi utarekebisha.

Unaweza kuanza na kuku 550 mambo yakaenda negative ukachanganikiwa kabisa.

HIVO NAKUSHAURI ANZA NA KUKU 250 AU 300 KWANZA.

katika maelezo yako yanaonesha huna uzoefu wa kufuga kuku wengi zaidi ya hao 60.

kuwa na eneo la kutosha ni kigezo kuwa cha uhakika kuwa hawatashambuliwa na changamoto kadhaa.

HIVO ANZA NA HAO WAKIFIKISHA MIEZI 4 au 5 ongeza waliobakia kufikia lengo lako la 550
 
USHAURI USHAURI.

Anza na kuku 250 au 300 badala ya kuku 550.

Kuku ni mradi usiokuwa na majibu ya 100% kabla ya kuanza na kuona uhalisia.

Mtandaoni huwezi kujifunza kila jambo.

Utakapoanza na kuku 250 kwako litakuwa darasa la vitendo.

Ukibahatika kuwakuza wote kwa pamoja itakuwa funzo na utakuwa umejifunza kipi umetumia kuwakuza wote.

Na ikitokea wamekufa pia utakuwa umejifunza wapi umekosea na kipi utarekebisha.

Unaweza kuanza na kuku 550 mambo yakaenda negative ukachanganikiwa kabisa.

HIVO NAKUSHAURI ANZA NA KUKU 250 AU 300 KWANZA.

katika maelezo yako yanaonesha huna uzoefu wa kufuga kuku wengi zaidi ya hao 60.

kuwa na eneo la kutosha ni kigezo kuwa cha uhakika kuwa hawatashambuliwa na changamoto kadhaa.

HIVO ANZA NA HAO WAKIFIKISHA MIEZI 4 au 5 ongeza waliobakia kufikia lengo lako la 550
ushawh kufga kuku. ,?
 
Ndiyo kuanzia home utotoni mzee alikuwa mfugaji kuku wa mayai na saiv pia ninafuga wa kienyeji pia
ndioo maaan watu wanafug ata kuku elf kum kaka na beginner kbs we mwambie tu afuge kuku hao mia tano ila awe krb na mfungaji mwenzake ampe abc au doctor wa wanyama

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom