mabestejr
JF-Expert Member
- Jun 8, 2022
- 205
- 122
kaka broiler kwnn hapanbroiler hapana, bora hao layers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka broiler kwnn hapanbroiler hapana, bora hao layers
Sasso miez miwili mkuu inawezekana kweli?Fuga hata saso
Fuata masharti yote
Unauza baada ya miez 2
KabisaaSasso miez miwili mkuu inawezekana kweli?
Mkuu umewahi kuwafuga na ukawauza baada ya miezi miwiliKabisaa
kaka broiler kwnn hapan
labd ila layers na broiler ndoo kuku biasharMkoa ambao naishi hao kuku hawana walaji wengi
Mkuu unaweza kunipa ABC kuhusu Sasso kuhusu kuwahudumia Ili wawe tayari Kwa kuuzwa ndani ya miez mitatuKabisaa
Mwachiluwi shikamoo [emoji1787]Mwandiko mbaya ata sijasom
labd ila layers na broiler ndoo kuku biashar
Ahhahahah marahabaMwachiluwi shikamoo [emoji1787]
wachache nina broiler 1000 ila layers wanahitj ela khy najipangaUna kuku aina gani mkuu
wachache nina broiler 1000 ila layers wanahitj ela khy najipanga
Uliwahi kuona wapi wanafuga broiler kwaajili ya kutaga?Broiler na layers wako wapi wana faida kwenye utagaji?
Uliwahi kuona wapi wanafuga broiler kwaajili ya kutaga?
Broiler na layers wako wapi wana faida kwenye utagaji?
Broiler sio kwa ajili ya kutaga
mtaji mdg ni broiler ilaa kuku wanakupa faid layers ila broiler unapata faid pia ila layers mtaji mkubwaNaomba uniambie ni kuku yupi ukimfuga unaweza kuona kipato, ukizingatia eneo ni dogo na mtaji mdogo?
idada chache san natk nifugue kuku 1000 layers bado najichag nikifksj kuku broiler elf 3000 ndioo nitaanz kuku mayaiKwanini usianze na layers hata 100