Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Ogopa kabisa ID zilizoingia JF muda mrefu lakini posts zao Jukwaani hazizidi elfu moja.
====
Rais hawezi kushindwa kutimiza majukumu yake ya kikatiba na sera za Chama chake kisa tu wabaya wake watamuita majina 'udikteta'!
[emoji23][emoji23]hatari halafu zenyewe zinaandikaga nyuzi ambazo hazihitaji malikes wala comments za kibebish. Yaani nyuzi za kiyunani tu.
 
Si kweli
Aliyeandika huu uzi, ni mmoja wa watu waliokuwa wanaandaa plan ya Utawala mpya, na hakika wametimiza, hayo majina ilikua ni zuga ya kuwatoa kwenye Reli, Refer kauli ya Jakaya kuwa anakuja Rais Mkali, Hakika Wachina ni shida
 
ndiye huyu mzee Yohana,hata kwenye kampeni akiwa Jukwaani,alikuwa anasema..'Jakaya anawabatiza kwa MAJI..'

lakini tazama nawaambieni..'huyu ajaye Hakika atawabatiza kwa MOTO.!!'
Natambua ulijibu hii 2018 ila 2019 muda kama huu unajua kabisa ukipitia nyaraka hii hypothesis yako ilishatema
 
Habari gani Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…