Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

hahahha...nililisoma hili bandiko asubuhi.. hamadi nikaona na komenti yangu.. nikacheka tu..huyu jamaa ni kama alikuwa anaona mbele yani exactly utadhani thread ni ya leo leo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

JF huwa inafurahisha sana, kuna wakati unaweza kuikana comment yako ya zamani kabisa.

Ila kuna watu wanaupeo mzuri wa kutabiri aisee. Andiko liko vyema sana hili.

Amegusia watu watakaompinga watapotezwa na wasijulikane walipo, nikamkumbuka sana Ben Saanane
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

JF huwa unafurahisha sana, kuna wakati unaweza kuikana comment yako ya zamani kabisa.

Ila kuna watu wanaupeo mzuri wa kutabiri aisee. Andiko liko vyema sana hili.

Amegusia watu watakaompinga watapotezwa na wasijulikane walipo, nikamkumbuka sana Ben Saanane
kabisa
 
Ogopa kabisa ID zilizoingia JF muda mrefu lakini posts zao Jukwaani hazizidi elfu moja.
====
Rais hawezi kushindwa kutimiza majukumu yake ya kikatiba na sera za Chama chake kisa tu wabaya wake watamuita majina 'udikteta'!
Mimi siku zote nawaambia, hata NAPE NNAUYE na MWIGULU NCHEMBA walikuwa na SHOBO KAMA LAKO.

NI SUALA MUDA TU.
 
hahahha...nililisoma hili bandiko asubuhi.. hamadi nikaona na komenti yangu.. nikacheka tu..huyu jamaa ni kama alikuwa anaona mbele yani exactly utadhani thread ni ya leo leo
Atupe na majina ya 2020 basi, anaonekana mtabiri mzuri sana na ameshusha madini muhimu katika akili ya binaadamu, pengine tutapata hata kushusha pumzi kidogo.[emoji18]
 




DHANA YA “UJAMAA NA MAENDELEO YA VIWANDA” PAMOJA NA DHANA YA IPO SIKU TUTAITUMIA KWA MAENDELEO ENDELEVU

Kama ilivyo wanadamu tuna mahitaji mengi ya msingi na tukiwa tumetimiza miaka 19 ya kifo cha Mwalimu Nyerere, ni vyema tukatafakari kama taifa lenye watu wapatao 59,000,160 litawezaje kujikimu katika masuala ya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni. Hapo ndipo utangundua ni ukweli usiopingika kuwa muda wa serikali kutekeleza falsafa ya ujamaa ulioboreshwa umefika ili kutengeneza ajira, na nchi kupiga hatua kubwa kuelekea uchumi wa kati 2025.

Ili kufikia dira hiyo, kwa kipindi cha miongo kadhaa watanzania imekuwa ikijikita kwenye uchumi wa kutoa huduma badala ya uzalishaji mathalani uchumi wa nyumba za kupanga, bodaboda, simu n.k. Hali iliyopelekea vijana wengi wasomi wakiwa mitaani bila ajira pamoja na kuwa tegemezi kwa jamii. Kutokana na hali hiyo, kuna haja kwa viongozi kuweka mazingira yatakayofanikisha sera ya ujamaa pamoja na sera ya ubepali kutumika ili kufikia azma ya serikali ya viwanda na kufanya miundombinu ya reli na barabara kutumika ipasavyo. Madhalani, Serikali inaweza tumika taasisi zake ikiwemo NHC kujenga jamii zenye nguvu (Communities) kwa kujenga nyumba (miji) yenye tija katika maeneo ya uzalishaji na kuajiri vijana kama ilivyoanzishwa taasisi ya Kilimo (Mbeya) na Mpwapwa (Dodoma).

Utekelezaji makini wa Sera ya Mixed Economy nchini kutasaidia kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wa kiwango cha medium zone pamoja na kuongeza uzalishaji utakaosadia kuongeza bidhaa, utulivu wa shilingi, utulivu wa kisiasa na kudumisha amani nchini.hivyo ni vyema wanasiasa mkasaidia maandalizi ya kuanzisha vituo vya uwekezaji kulingana na mahitaji ya eneo na wakati husikakwani ni ukweli usiopigika kuwa tatizo la ajira linaathari siyo katika jamii ya Tanzania pekee pia hata nchi zilizoendelea hivyo ni wakati wa kufunga mkanda (Benjamini Willium Mkapa) kwa maendeleo endelevu.



TATIZO LA VIJANA WALIOWENGI NI NYUMBA (kulipa kama bia kuelekea kwenye umiliki wake) + TRACTOR

MORE STRATEGIES (attached)
 
adolfhitlernazipropagandaeslebedeutschland.jpg
Vyombo mbalimbali vitanyimwa uhuru wa kutoa mawazo yao hii itapelekea vyombo vya habari vya magharibi kumuulika nchi na hivyo hali kuwa mbaya zaidi.
Sawa mtabiri wetu!!
 
Ukiishi kwenye level ya 'Beyond Imagination' huwezi kushangaa mambo haya. Kila kinachotokea kilipangwa na kina sababu...
True, kuna watu wako behind the scene pulling the strings, wadau consiparcy theory a.k.a Awaken(woke) comunity huwa wanawaita deepstate a.k.a the elites a.k.a the powers that be a.k.a the 1%,ndo maana nasema huyu jamaa hakutabiri ila alikuwa eidha anajua mipango iliyokuwa imepangwa ama mjuvi wa kusoma trends.Hakuna kitu kinatokea tu bahati mbaya its all plan and execution.
 
Back
Top Bottom