Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Nchi huwa inaendeshwa kwa mikakati iliyoandikwa sasa nyie mkiona vitu vinatokea mnavidakia juu kwa juu bila kujua!

Mleta mada huenda ni mmoja ya wana mkakati
 
Hadi Rais baada ya MAGUFULI anajulikana tayari kura huwa ni formality tu basi
 
Ni kweli dunia hii kila jambo hupangwa na hutokea kwa sababu mfano Magufuli alikuja kufanya jambo ambalo lilikuwa limezidi hivi unafikiri hata haya yanayotokea sijui hama HAMA IMEKUJA tu accidentally from nowhere tu, hiyo imepangwa vizuri kwa ustadi.
True kura huwa formality tu,sio hapa hata marekani.option zenyewe mnapewa mbili tu.we hujiulizi how come taifa la watu milion 50(tz) au milioni 400(USA)wagomembea option kubwa ziwe mbili tu.
 
Rais wa Tanzania ,hujulikana kwa nyakati za wakati huo , na huandaliwa kwa shughuli maalum kutokana na hali ya nchi ,

Ni nyakati Moja tu katika historia ya Tanzania , Rais hakuwekwa na Wafia nchi , deep state nayo ni 2005 .

Makosa haya hayatajirudia tena , nchi imesharudi kwa wenyewe , na wenyewe wanajua walikosea wapi wakati wanaongoza wakatubu wakaaamua kufanya kazi pamoja na ndio wakaleta zao la JPM
 
Ni kweli dunia hii kila jambo hupangwa na hutokea kwa sababu mfano magufuli alikuja kufanya jambo ambalo lilikuwa limezidi hivi unafikiri hata haya yanayotokea sijui hama HAMA IMEKUJA tu accidentally from nowhere tu, hyo imepangwa vzuri kwa ustadi
Swali langu liko palepale hawa wanaotupangia ni akina nani?.na wanafanya hivyo kwa manufaa ya nani?.
 
Ni kweli dunia hii kila jambo hupangwa na hutokea kwa sababu mfano magufuli alikuja kufanya jambo ambalo lilikuwa limezidi hivi unafikiri hata haya yanayotokea sijui hama HAMA IMEKUJA tu accidentally from nowhere tu, hyo imepangwa vzuri kwa ustadi
Alafu shida ni kwamba wanaangalia haya yanayotokea kisha wana muatack magufuli personally,!

Hawaangalii urais kama taasisi..
 
Mimi nimekuelewa,. Unaweza kurudia tena andiko Kama hili, for the next 5yrs ?? If possible please!!!!
 
Ningekutajia jina lake halisi sema naogopa BAN ya name calling. Ila wakongwe tunamfaham Mshamba Matatu Mzee wa Tanga


ndiye huyu mzee Yohana,hata kwenye kampeni akiwa Jukwaani,alikuwa anasema..'Jakaya anawabatiza kwa MAJI..'

lakini tazama nawaambieni..'huyu ajaye Hakika atawabatiza kwa MOTO.!!'
 
Ha ha haa.Kumbe hii hama hama ni coalition ya kisirisiri?kumbe teyari tuna serikali mseto?!haya bhana!tusijeshangaa baadae tukapata Rais toka upinzani lakini kwa tiketi ya ccm afu..afu..baadae ndio mnabadilisha katiba uku teyari mshaijengea mazingira kuepuka unnecessary conflicts.. kwii kwi kwi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…