Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Kumbe hiyo roadmap ilichorwa tangu 2012, ok! lakini mkae mkijua hiyo Mikakati ovu ya kulinda madaraka itatugharimu wote, kisiasa kijamii na kiuchumi, baada ya miaka 10 nchi itakuwa masikini sana
 
Kama baadhi ya mambo aliyosema yametimia asilimia mia basi na hilo litegemee mkuu huenda n muda tu, ila uyu alietoa uzi kama s mchawi basi ana maono ya mbali sana
mkuu,nilivyomwelewa jamaa amesema raisi ni either awe dikteta au mwenye maamzi magumu,na mm ninadhan huyu jamaa ni ama mchawi au ana mawasiliano na mbingu
 
jamaa alishaona uwezekano wa mkapa kumpitisha waziri jiwe..
na katika orodha aliyoitaja ni jiwe tu ndilo lililoonesha roho nyeusi yenye choyo kwa walionacho tangu akiwa waziri..
magamba alitoa utabiri akijaribu kufikiria nini kitatokea ikiwa mkapa atampitisha mvunja nyumba ya mamamkwe !
 
Mkuu umetoa Siri za watu wa deep state, unapaswa kushughulikiwa lakini pia umetufumbua macho kumbe yanayowapata matajiri akina (zacharia, ruge, manji,MO, iqram, huenda atafuatia jeetu,) ni mpango wa kuwanyanganya utajiri kwa nguvu??
 
Hapo ndo wengi wanakosea magufuli hakuja kwa bahati mbaya alikuja kurekebisha mambo flani flani ya nchi though hzo ni kama changamoto pia za mtazamo wa watu
Alafu shida ni kwamba wanaangalia haya yanayotokea kisha wana muatack magufuli personally,!

Hawaangalii urais kama taasisi..
 
Mkuu umetoa Siri za watu wa deep state, unapaswa kushughulikiwa lakini pia umetufumbua macho kumbe yanayowapata matajiri akina (zacharia, ruge, manji,MO, iqram, huenda atafuatia jeetu,) ni mpango wa kuwanyanganya utajiri kwa nguvu??
Exactly what's been clicking in my medulla.
 
Mkuu umetoa Siri za watu wa deep state, unapaswa kushughulikiwa lakini pia umetufumbua macho kumbe yanayowapata matajiri akina (zacharia, ruge, manji,MO, iqram, huenda atafuatia jeetu,) ni mpango wa kuwanyanganya utajiri kwa nguvu??
We huoni anayofanya/alivyofanya crown prince wa saudia,aliwaweka ndugu zake wa damu na matajiri wengine ambao anaona ni tishii kwake kizuizini kwenye 5 star hotel huachiwi mpaka utoe asilimia kadhaa ya utajiri wako same modus operandi anayotumia my nigga Jiwe minus the 5 star treatment tho coz this is africa.eidha ufilisiwe,upunguzwe nguvu ama utoe gawio endelevu.
 
Mkuu/Kiongozi wa hiyo taasisi ni nani?
Tena kiongozi wa hiyo taasisi kuna wakati amesema HAPANGIWI WALA HASHAURIKI.

kwa hali hiyo lazima watu wamshambulie yeye personally. Na sababu hasa ni yeye mwenyewe kujiamini kama ni taasisi bila washauri wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…