Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Kama kweli wako serious basi nusu ya watanzania wote wataingia jela.
Na sijui kama tanzania itaweza kufunga na kulisha wafungwa million 30.
Seriously kwa mfumuko wa hovyo wa bei hichi kitu ni ngumu kumonitor kwa asilimia 100% na baada ya muda ni lazima wote walie.
Na sijui kama tanzania itaweza kufunga na kulisha wafungwa million 30.
Seriously kwa mfumuko wa hovyo wa bei hichi kitu ni ngumu kumonitor kwa asilimia 100% na baada ya muda ni lazima wote walie.