Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa Jakaya Kikwete huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof. Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi. Mbowe na CHADEMA walirukaruka kama ndama wakifurahia Serikali mpya ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania"

Wakati Serikali ya Awamu ya Tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia Dunia kuwa Serikali ya "Hapa Kazi Tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za UKAWA.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha, wakigonga tano wakiamini Serikali ya "Kazi Iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya Serikali ya Rais Samia (CCM) na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr. Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
 
Ni kawaida ya nyumbu kudhani yuko salama mbele ya simba.

Acha waendelee kumshangilia rais Samia
Hadi hapa usalama upo kwa wengi,ikiwa ni kwa hata fisi wakijani, achilia mbali kitoweo cha fisi, au nyumbu hakuna kutekana, hakuna kubambikiana kesi, hakunawasiojulikana na vile vile mnanuna kwa mageuzi kabambe yanayofanywa, na bado mengi yaja.
 
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa JK huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof.Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi.Mbowe na Chadema walirukaruka kama ndama wakifurahia seriakali mpya ya "maisha bora kwa kila Mtanzania"

Wakati serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia dunia kuwa Serikali ya "hapa kazi tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za ukawa.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha,wakigonga tano wakiamini serikali ya "kazi iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi,hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya serikali ya Rais Samia,CCM; na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr.Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
Uko sahihi historia ni mwl mzuri
 
Hivi Polepole na Bashiru wameenda Kigoma? Siku zinakimbia sana.
Wamepitia kutambika makaburini! 😂
Mizimu itakuwa haijajibu!

Everyday is Saturday................................😎
 
Kwny chama kwa sasa Polepole, Bashiru na Pohamba wote ni 'Viongozi wa zamani' wa CCM, tena atleast Pohamba unaweza ukamwita Kiongozi mstaafu, wenzangu hawakustaafu
Hivi Polepole na Bashiru wameenda Kigoma? Siku zinakimbia sana.
 
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa JK huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof.Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi.Mbowe na Chadema walirukaruka kama ndama wakifurahia seriakali mpya ya "maisha bora kwa kila Mtanzania"

Wakati serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia dunia kuwa Serikali ya "hapa kazi tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za ukawa.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha,wakigonga tano wakiamini serikali ya "kazi iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi,hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya serikali ya Rais Samia,CCM; na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr.Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!

Umeanzisha uzi kuihusu cdm, lengo ni uzi wako upate wachangiaji wengi maana unajua uzi kuhusu ccm hauna wachangiaji wengi kwani wengi ni wazee, na vyama vingine havina wafuasi wengi. Nenda huko kunakofanyika upuuzi uitwao uchaguzi, cdm ndio chama cha kupatia kura, maana wapiga debe wa vyama vinavyoshiriki wasipoitaja hawapati mvuto. Kwa maneno marahisi cdm imekuwa SI Unit ya kufanyia siasa nchi hii.
 
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa JK huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof.Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi.Mbowe na Chadema walirukaruka kama ndama wakifurahia seriakali mpya ya "maisha bora kwa kila Mtanzania"

Wakati serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia dunia kuwa Serikali ya "hapa kazi tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za ukawa.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha,wakigonga tano wakiamini serikali ya "kazi iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi,hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya serikali ya Rais Samia,CCM; na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr.Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
Fafanua kwanza hayo MATUSI tuyajue, maana toka awamu ya tano iliposhika hatu misamiati mingi ilibadirika,maana hata uzalendo nao ulibadirisha maana,uongo ukawa ukweli,mtu akinena ukweli ukawachoma wakubwa,ukweli wako unageuka kuwa matusi na adui wa taifa, ''TUVAE BARAKOLA CORONA INAUWA'' Huyu sasa mzandiki,kibaraka wa mabeberu,sio mzalendo na adui wa taifa na mhujumu uchumi.
nadhani mpaka hapo umenielewa turekebishe kwanza misamiati ili tujue matusi ni yepi na ukweli ni upi.
 
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa JK huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof.Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi.Mbowe na Chadema walirukaruka kama ndama wakifurahia seriakali mpya ya "maisha bora kwa kila Mtanzania"

Wakati serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia dunia kuwa Serikali ya "hapa kazi tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za ukawa.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha,wakigonga tano wakiamini serikali ya "kazi iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi,hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya serikali ya Rais Samia,CCM; na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr.Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
Huachi hadith za umalaya malaya?
Kwani CCM chama dola kinasemaje kuhusu kusambaratisha nchi na kavunja katiba kwa kuwakumbatia malaya wa viti maalum wasio na chama?
 
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa JK huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof.Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi. Mbowe na Chadema walirukaruka kama ndama wakifurahia seriakali mpya ya "maisha bora kwa kila Mtanzania"

Wakati serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia dunia kuwa Serikali ya "hapa kazi tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za ukawa.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha,wakigonga tano wakiamini serikali ya "kazi iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi,hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya serikali ya Rais Samia,CCM; na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr.Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
MATAGA mnahaha hamjui pa kushikilia, mmeishia kuwa wapiga ramli.
 
Back
Top Bottom