Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #21
Jikite kwenye hoja kamanda
Hadi hapa usalama upo kwa wengi,ikiwa ni kwa hata fisi wakijani, achilia mbali kitoweo cha fisi, au nyumbu hakuna kutekana, hakuna kubambikiana kesi, hakunawasiojulikana na vile vile mnanuna kwa mageuzi kabambe yanayofanywa, na bado mengi yaja.