Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa Jakaya Kikwete huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof. Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi. Mbowe na CHADEMA walirukaruka kama ndama wakifurahia Serikali mpya ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania"

Wakati Serikali ya Awamu ya Tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia Dunia kuwa Serikali ya "Hapa Kazi Tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za UKAWA.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha, wakigonga tano wakiamini Serikali ya "Kazi Iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya Serikali ya Rais Samia (CCM) na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr. Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
Wakikosoa mnalalamika kuwa wanakosoa kila kitu. Wakisifia nako mnajaa nyembe kama mna mimba changa. Kwani kinachowatesa ni nini? Akitenda mema asifiwe, akizingua akosolewe. Wewe mbona kabla mmeo hajakuoa mlikuwa mnafurahiana mpaka anakukazia vichakani kwa furaha ila kwa sasa mmekuwa kama mbogo hata chuphi humvulii? Mambo huwa yanabadilika asee, na sio kamba eti kwa vile alisifiwa mwanzo akija kukosea hapo baadae asikosolewe. Mpaka hapo umenielewa bibie?
 
Kamanda,matusi yameanza tusubiri
Wakikosoa mnalalamika kuwa wanakosoa kila kitu. Wakisifia nako mnajaa nyembe kama mna mimba changa. Kwani kinachowatesa ni nini? Akitenda mema asifiwe, akizingua akosolewe. Wewe mbona kabla mmeo hajakuoa mlikuwa mnafurahiana mpaka anakukazia vichakani kwa furaha ila kwa sasa mmekuwa kama mbogo hata chuphi humvulii? Mambo huwa yanabadilika asee, na sio kamba eti kwa vile alisifiwa mwanzo akija kukosea hapo baadae asikosolewe. Mpaka hapo umenielewa bibie?
 
nani atawaunga mkono
watanzania hawana muda huo
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa Jakaya Kikwete huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof. Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi. Mbowe na CHADEMA walirukaruka kama ndama wakifurahia Serikali mpya ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania"

Wakati Serikali ya Awamu ya Tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia Dunia kuwa Serikali ya "Hapa Kazi Tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za UKAWA.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha, wakigonga tano wakiamini Serikali ya "Kazi Iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya Serikali ya Rais Samia (CCM) na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr. Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
 
Ndugu zangu,

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 Freeman Mbowe aliutangazia ulimwegu jinsi alivyohusudu utawala mpya wa Jakaya Kikwete huku akiwaponda wanasiasa wengine kama Prof. Lipumba aliyelalamikia madhaifu ya tume ya uchaguzi. Mbowe na CHADEMA walirukaruka kama ndama wakifurahia Serikali mpya ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania"

Wakati Serikali ya Awamu ya Tano imeingia madarakani mwaka 2015 siku 100 za mwanzo aliibuka Salum Mwalim akaitangazia Dunia kuwa Serikali ya "Hapa Kazi Tu" kwa asilimia 100 ilitekeleza sera za UKAWA.

Na sasa ndani ya siku mia moja za Rais Samia makamanda ghafla wanalazimisha kuonekana wenye furaha, wakigonga tano wakiamini Serikali ya "Kazi Iendelee" inatekeleza sera zao.

Vituko haviishi hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya Serikali ya Rais Samia (CCM) na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr. Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.

Muda utasema!
Mkuu bi hivi
Kama mawazo yako yako ni mgando muombe Mungu yaganduke
Kama chadema ilimsifia Mama Samia kwa wakati fulani ulisifikiri itamsifia hadi pale atakapoharibu
 
Vituko haviishi hadi kufikia tarehe 1.7.2021 tutaanza kuona na kusikia mitambo ya matusi ikiwashwa upya dhidi ya Serikali ya Rais Samia (CCM) na hapa rasmi Chongolo na Shaka nao wataanza kusakamwa na makamanda kama ilivyokuwa Dr. Bashiru na Polepole walipotekeleza majukumu ya kuhakikisha CCM inaendelea kushika dola.
Hahahaha tuliza mzuka Mpwa! Mimi ninachojua ni kwamba mliutangazia Ulimwengu kuwa Chadema imekufa, sasa hii ya 1/July/2021 unayozungumzia ni IPI? Au kuna Chadema nyingine tofauti na ile iliyokufa?
 
Back
Top Bottom