Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

Kule Twitter aliniblock huku akinisindikiza na tusi inbox kuwa me msenge na hiyo ni baada ya kukosoa moja ya tweet zake
Kwani si kweli kuwa upo hivyo ulivyoandikaa!!??
Mtu ambaye hayupo hivyo hawezi kuandika hilo neno humu jukwaani.
Hujasingiziwa.
 
CDM wanamjaribu mama, watapata tu wanachotaka si hawajazoea siasa za kistaarabu.
 
Jenga hoja kamanda
Wewe sasa inafaa upate mume akuoe kwa sababu muda wote unashinda hapa na kukesha ukiandika tu upumbavu mwingi usio na maana ili mradi tu ulipwe ujira na kitengo cha propaganda cha ccm. Useless kabisa.
 
Ccm imeiweka nchi kwenye uchumi WA kati maendeleo uliyonayo mpaka elimu yako umesomeshwa na serikali ya Ccm Ebu 2wape ushirikiani viongozi we2 2ache chokochoko na kutumiwa kisiasa.... Waafrika 2tulie ili tutawalike....
Huachi hadith za umalaya malaya?
Kwani CCM chama dola kinasemaje kuhusu kusambaratisha nchi na kavunja katiba kwa kuwakumbatia malaya wa viti maalum wasio na chama?
 
Uliona nini hasa hata ukatabiri hili? Watu mna vipaji vya kuona yajayo.
 
Ccm imeiweka nchi kwenye uchumi WA kati maendeleo uliyonayo mpaka elimu yako umesomeshwa na serikali ya Ccm Ebu 2wape ushirikiani viongozi we2 2ache chokochoko na kutumiwa kisiasa.... Waafrika 2tulie ili tutawalike....
Tuwape ushirikiano walipwe mishahara isiyokatwa kodi na matanuzi juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…