Kuanzia kesho sili papuchi bila kumpima UKIMWI na ujauzito

Pole Sana
Ulikoswa koswa kupigwa kitu kizito [emoji28]
 
Mm Kuna fala mmoja alitaka kunitegesheaa mimba hvyo hvyo Kama alivyo taka huyo wako siku namuhitaji hatokeo kbsa bas sijui kaenda huko Moro kajazwa mimba akatakujisafirisha Hadi singida nije kumla Kisha anibambikize mimba Kisha nimuoe dah
 
Uwe unapima na ngoma kabisa
 
Sasa ningekula kipofu mzigo ungekuwa unaniangukia mimi kizembe, sasa ilikuwa na maana gani kupata C ya biolojia kama ningebambikiwa mimba kizembe hivi? Nikala mzigo halafu akapita vile. Sasa sijui anaenda kuitoa maana anasema hajapanga.
Atajua mwenyewe, ishi nao kwa tahadhari huo ushauri mwingine nimekupa mkuu
 
Wanawake sio watu wa kuwaamini kabisa, alikubali umpime akijua kuwa kipimo hakitasoma mimba ya siku tatu, hakujua kuwa hicho kijusi tayari kimekwisha kanyaga wiki

Huyo awe anaileta tu unamsaidia kumuongezea mtoto masikio na vidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…