Kuanzia kesho vijana msikose bando, mikeka mingine inafuata

Kuanzia kesho vijana msikose bando, mikeka mingine inafuata

majumba 6

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2020
Posts
250
Reaction score
703
Kuanzia kesho vijana wasikose bando.

Kuna mikeka minne(pdf) iko njiani.

Mkeka wa kwanza unawahusu walioteuliwa kuwa makatibu tawala wa wilaya.

Mkeka wa pili ni wa walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji.

mkeka wa tatu ni wa waliifanikiwa kupata ajira za ualimu (6949)

Mkeka wa nne ni walifanikiwa kupata ajira kada ya afya.

Kaeni mkao wa kula. Bando lisikate!
 
Kuanzia kesho vijana wasikose bando.

Kuna mikeka minne(pdf) iko njiani.

Mkeka wa kwanza unawahusu walioteuliwa kuwa makatibu tawala wa wilaya.

Mkeka wa pili ni wa walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji.

mkeka wa tatu ni wa waliifanikiwa kupata ajira za ualimu (6949)

Mkeka wa nne ni walifanikiwa kupata ajira kada ya afya.

Kaeni mkao wa kula. Bando lisikate!
Anateua lini maheadmaster na ma head girl
 
Kuanzia kesho vijana wasikose bando.

Kuna mikeka minne(pdf) iko njiani.

Mkeka wa kwanza unawahusu walioteuliwa kuwa makatibu tawala wa wilaya.

Mkeka wa pili ni wa walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji.

mkeka wa tatu ni wa waliifanikiwa kupata ajira za ualimu (6949)

Mkeka wa nne ni walifanikiwa kupata ajira kada ya afya.

Kaeni mkao wa kula. Bando lisikate!
Hivi Masud Kipanya mbona wanamsahau unajua watu wanafikiri hivi vipanya anachora na akili yake itakuwa kama vikatuni vyake ha ha.Masud ana upeo kuxidi wabunge wawili
 
Hivi Masud Kipanya mbona wanamsahau unajua watu wanafikiri hivi vipanya anachora na akili yake itakuwa kama vikatuni vyake ha ha.Masud ana upeo kuxidi wabunge wawili
Masood hajawahi unga juhudi na pia yuko upande wa upinzani jarbu mfatilie uyu jamaa utaelewa
 
Masood hajawahi unga juhudi na pia yuko upande wa upinzani jarbu mfatilie uyu jamaa utaelewa
Ni sawa, lakini unafikiria akiteuliwa, anaweza kukataa?na kwa Tz, ukishakubali tu uteuzi automatically una kuwa CCM, njaa ndio adui mkubwa, ni wachache sana, ambao anaweza kataa uteuzi tena wa rais!!muulize yule jamaa wa tigo aliyekataa teuzi ya MWENDAZAKE, kilimkuta nini?!!japo huyu mama hawezi kukufanya kitu, lakini kwenye ile ofisi unayofanyia kazi ndio watakusumbua sana!!
 
Kesho hatutakuwa na bando, mkeka uchane leoleo 🙂 Kama Bi Mkubwa anaachia ngazi, kiti kimekuwa cha moto, pls tuambie mapema maana tuna jambo letu.
 
Kuanzia kesho vijana wasikose bando.

Kuna mikeka minne(pdf) iko njiani.

Mkeka wa kwanza unawahusu walioteuliwa kuwa makatibu tawala wa wilaya.

Mkeka wa pili ni wa walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji.

mkeka wa tatu ni wa waliifanikiwa kupata ajira za ualimu (6949)

Mkeka wa nne ni walifanikiwa kupata ajira kada ya afya.

Kaeni mkao wa kula. Bando lisikate!
Nina Wanangu ( Marafiki zangu ) Wawili kutoka 'Eagle Wing House' Makao Oysterbay wakikosa sitomuelewa kabisa Mama ( Mheshimiwa Rais ) Mmoja yupo Mtwara na mwingine Dodoma.
 
Kuanzia kesho vijana wasikose bando.

Kuna mikeka minne(pdf) iko njiani.

Mkeka wa kwanza unawahusu walioteuliwa kuwa makatibu tawala wa wilaya.

Mkeka wa pili ni wa walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji.

mkeka wa tatu ni wa waliifanikiwa kupata ajira za ualimu (6949)

Mkeka wa nne ni walifanikiwa kupata ajira kada ya afya.

Kaeni mkao wa kula. Bando lisikate!
Naomba nikopeshe buku mbili, jina langu likiwemo kwenye mkeka nakurudishia elfu kumi.
 
Na sie wengine mtuambie tusogeze majina yetu vipi ayapate tupata nafas zozote huko japo siasa hatuziwezi
 
Ikifikia TANESCO mnishtue, naamini sitokosekana. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina Wanangu ( Marafiki zangu ) Wawili kutoka 'Eagle Wing House' Makao Oysterbay wakikosa sitomuelewa kabisa Mama ( Mheshimiwa Rais ) Mmoja yupo Mtwara na mwingine Dodoma.
Tuliza mpira kijana wangu mbona chenga sana toa pass za kunyooka, usimsahau jirani yako hapo karibu nageti fl 3
 
Back
Top Bottom