Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Tushajiunga bando GB za kutosha sasa ole wako utudanganye....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga wanatia hurumaHahahaha masiala hayo! Waambieni UVCCM waache ku-left kwa groups! Wanatia huruma sana
Nayo ni kazi pia.cheo gani? kusoma mita au?
😄😄😄😄😄Naomba nikopeshe buku mbili, jina langu likiwemo kwenye mkeka nakurudishia elfu kumi.
Sasa hao Jamaa zako si tayari wako kwa system, na wanakula keki ya Taifa huko Eagle Wing! Acha Mama achukuwe Watanzania wa mtaani nao waje kwa system ili nao wale keki ya Taifa pamoja!!Nina Wanangu ( Marafiki zangu ) Wawili kutoka 'Eagle Wing House' Makao Oysterbay wakikosa sitomuelewa kabisa Mama ( Mheshimiwa Rais ) Mmoja yupo Mtwara na mwingine Dodoma.
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu sunzu mnamtaka nani Sasa?Mkeka wa 5 ni KK kumkataa Samia
Nafasi hizo zote zina tija gani kwa Taifa letuKuanzia kesho vijana wasikose bando.
Kuna mikeka minne(pdf) iko njiani.
Mkeka wa kwanza unawahusu walioteuliwa kuwa makatibu tawala wa wilaya.
Mkeka wa pili ni wa walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa halmashauri za wilaya, miji, manispaa na majiji.
mkeka wa tatu ni wa waliifanikiwa kupata ajira za ualimu (6949)
Mkeka wa nne ni walifanikiwa kupata ajira kada ya afya.
Kaeni mkao wa kula. Bando lisikate!
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu sunzu mnamtaka nani Sasa?
Tena hapo kungekuwa na uchaguzi wa rais tu na waziri mkuu angekuwa mgombea mwenza,hao mawaziri watu wangetuma maombi mwenye qualification nzuri anaajiriwa na anapewa wizara kulingana na taaluma yake KUBWA KULIKO YOTE UKIENDA KINYUME NA TARATIBU UWAJIBISHWE KISHERIA haijalishi wewe ni kiongozi wa ngazi ipi,bunge lingeundwa na mameya wa kila almashauri.Kulikua na haja ya kupunguza utitiri wa viongozi wateule ili kubana matumizi tanzania
Line upIngekua hivi
Rais
Waziri mkuu
Mawaziri
Wakuu wa mikoa
Meya
Wakurugenzi
Mtendaji kata
Balozi