Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ooh,safi sana ile juzi ungeweka lipa namba hapa ungekula kill tatuKilimanjaro lager
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh,safi sana ile juzi ungeweka lipa namba hapa ungekula kill tatuKilimanjaro lager
Evelyn Salt sio binti, rekebisha kauliamuzi zuri sana binti yangu
uko sahihiEvelyn Salt sio binti, rekebisha kauli
In any successful drinking, there is a promise of not drinking again..!!Mirinda nyeusi inaniita.....
kwakweli kuna muda bia huwa inakera ikiamsha hangover unaapa kuiacha mwili ukipoa unarudia tena, siku ya juzi na jana bia imenikera sanaa, leo mimi na bia basi. 👋
Shida imeanza sijanywa kitambo hata miezi miwili imefika, juzi nkaona kama vile nmepata kiu ngoja nishtue kidogo ili niwe mtamu😁 mambo ya weekend.
Jamaniiiii nmekunywa bia mbili tu yani mbili tuuuuu nimesusu usiku kucha nimeamka zaidi ya mara nane....... Hadi kuna muda nimesimama mlango wa toi nikajisemea hivi ni hizi bia mbili tuuuu au kuna mengine, kweli???? Bia mbili!!! Yani lita moja tu ya bia ila susu lita kumi.....hapana sinywi tena bia.
Kwaheri ya kuonana
View attachment 3206599
Mbadala wa bia nini naweza kunywa, msintajie vinywaji vyenye price tag mshahara wangu, yani salary laki mbili kinywaji laki mbili hapana labda ninunuliwe.
Sijaacha pombe nimeacha bia.
Walevi wote peponi 🥰
Mi ni binti 😁Evelyn Salt sio binti, rekebisha kauli
Sitaki kabisa habari za bia, labda kilimanjaro drinking water 😁Ooh,safi sana ile juzi ungeweka lipa namba hapa ungekula kill tatu
Oyaaa siumwi mie we vipiKianaanzaga taratibu kama hivyo! Anza kuchukua tahadhari
Mhasibu kwenye moja na mbiliUmenikumbusha zamani, mimi sinywi pombe ila nikipata toto levi nalinywesha chakari halafu ninalila likiwa nywiiii
Hahahaha au Hill WaterSitaki kabisa habari za bia, labda kilimanjaro drinking water 😁