Uzi wa 2014 inasikitisha sana...Nimepitia huu uzi wote sijaona comment ya Smart911 shida nini uzi haukukufurahisha maana nmeona kuona comment yako 'subiri waje wakupe muongozo'
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Bar bila wahudu warembo wenye wezele itakufa tuFungua baa, weka mademu warembo...na wanaojali wateja
Dah,sikutazama hapo kabla,nyuz za zaman huwa scomment ila ndo tayarUzi wa 2014 inasikitisha sana...
Ni kweli mkuu, mitaa ya Buza Tanesco kuna sweet corner pub ya kawaida tu, ila inakimbiza balaaa, siri yake ni hiyo Association nzima nadhani huwa inaamia hapo halafu kila siku visu vipya.Bar bila wahudu warembo wenye wezele itakufa tu
Halafu unawacheki wadangaji unawaambia waje kudanga hapo kwenye bar yako wana association yao na wanajuana.
Utapata wateja wengi sana
Mlevi bila kupitisha pitisha macho huku na kule kutazama miwezele hapati vibe wala stimu
Jiongeze
Siyo bahati, kuna watu ni wazito sana, akipiga kafara moja ni karne nzima.Ni kwel unayoyasema ila kuna watu wana bahati unakuta bar toka 2000 mpaka leo inapga nyomi tu na kuna wahudumu wa kawaida tu
Hii biashara hiiNdugu hata ukifanya hivyo haitoshi, sema itasaidia i survive kwa muda mrefu kidogo, tatizo lililopo kwa wateja hata ukiwa na walembo kiasi gani, wateja wengi wanakuwa ni kwa ajiri ya ngono tu, wakishawamaliza wote wanaona hakuna jipya, na kama jirani yako patafunguliwa bar iwe na wahudumu wakali hao hao wateja wako watakimbilia kule!!
Cha muhimu ni kuwa na wahudumu walio makini na kazi na wanaojua nini wanafanya, mfano mzuri kwa dar kwenye bar za kisuma utakuta wahudumu wengi ni majimama tena watu wazima ila wateja ni nyomi, tatizo la hao unao waita wakali hawajitumi wao wako kibiashara zaidi hata akiwa na bwana yake mteja mwingine ukiingia hana muda na wewe!!! waulizie wale waliokuwa wanakimbizana kufuata wahudumu Singida waliishia wapi?
👊Ukianzisha bar kwanza ujue unataka wateja wa aina gani. Ukiamua unataka wateja kama wa Rambo ya manzese wawekee menu yao na utadumu nao. Hawa ni wateja kama wa kimboka Buguruni. Unaweza uka target kama wateja middle class kama Rombo Green View na ukadumu nao. on the other hand kama huna target group maalum kama corner bar tegemea kufunga bar ikifunguliwa nyingine jirani. Cha msingi kwa wengi wa Dar. concentrate kwenye jiko na wahudumu waliojazia jazia na wacheshi kisha punguza mziki. Hata mimi utanipata.
✊✊ ushauri konki sana huuUkitaka Bar idumu ajiri Meneja ambaye anajiheshimu na asiyetembea na wahudumu wake ili awe na sauti ya utawala juu yao. Ajiri wahudumu wanaofahamu nini maana ya kazi, wanaofahamu huduma kwa mteja ninini, wasioendekeza ngono maana ngono hupelekea wivu na magomvi kwa mteja hasa akifika mahali hapo na mke wake au ndugu/jamaa yake wa kike. Mwisho wake muhudumu huanza kutoa huduma kwa kinyongo au asitoe kabisa. Mwisho walipe vizuri kulingana na hali ya maisha ilivyo ili waishi kama binadamu wengine.
Kwa uzoefu wangu bar na ikifikia wahudumu kuonea wivu mwanamke yeyote anayeingia baa na mteja, na bado meneja asilione hilo hapo lazima ifungwe. Mameneja makini hugundua mapema na kuondoa generation yote hiyo na kuajiri wengine....
Kuna mdau anaikandia hii bar chiefArusha Picnic huu ni mwaka wa 20 nyomi ipo palepale sijui huyu mrombo kaweka kizizi gani pale.
Rudi leo uoneKuna baa moja ilivuma sana pale mbezi mwisho imetazamana na kanisa katholic;
haikupita hata miezi mitatu panachoka ile mbaya.
Pakoje, mie mjini siendi tena barabara ni pana mno siwezi vuka naogopaRudi leo uone
Duh,hatariiiPakoje, mie mjini siendi tena barabara ni pana mno siwezi vuka naogopa
Ndio maana hapo juu kuna jamaa kasema hawa mademu wamwe wanapewa mkataba tuseme umewapa ajira mwezi wa 6 mkataba unaisha mwezi wa 3 maana masika ikianza wateja wanakosekana kingine wateja wanaweza wakawa wameshapachoka hapo kazini so unaleta wapyaSingida hasa warangi, wengi wao ni warembo sana, harafu huwa hawakatai mtu kirahisi, na ukiwaangalia wamejariwa.Ndio maana watu wengi waliokuwa wanafungua ma bar wanakwenda huko kondoa ana somba anakuja ana wapangia na gheto, kweli mwanzoni wanaume wale wakwale utawapata kweli!!hadi utaongeza viti, ila baadaye huduma itaanza kushuka kila leo kwani jukumu lao kubwa wanalisahau na ku base kwenye maslahi yao binafsi na mwisho wa siku ni kuanza kuondoka na kutafuta sehemu nyingine watakayoonekana wapya ili soko liwe zuri