Ndugu hata ukifanya hivyo haitoshi, sema itasaidia i survive kwa muda mrefu kidogo, tatizo lililopo kwa wateja hata ukiwa na walembo kiasi gani, wateja wengi wanakuwa ni kwa ajiri ya ngono tu, wakishawamaliza wote wanaona hakuna jipya, na kama jirani yako patafunguliwa bar iwe na wahudumu wakali hao hao wateja wako watakimbilia kule!!
Cha muhimu ni kuwa na wahudumu walio makini na kazi na wanaojua nini wanafanya, mfano mzuri kwa dar kwenye bar za kisuma utakuta wahudumu wengi ni majimama tena watu wazima ila wateja ni nyomi, tatizo la hao unao waita wakali hawajitumi wao wako kibiashara zaidi hata akiwa na bwana yake mteja mwingine ukiingia hana muda na wewe!!! waulizie wale waliokuwa wanakimbizana kufuata wahudumu Singida waliishia wapi?