Kuanzia leo, biashara ya bar imeniogopesha

Kuanzia leo, biashara ya bar imeniogopesha

Fungua baa, weka mademu warembo...na wanaojali wateja
Bar bila wahudu warembo wenye wezele itakufa tu

Halafu unawacheki wadangaji unawaambia waje kudanga hapo kwenye bar yako wana association yao na wanajuana.

Utapata wateja wengi sana

Mlevi bila kupitisha pitisha macho huku na kule kutazama miwezele hapati vibe wala stimu

Jiongeze
 
Ni kwel unayoyasema ila kuna watu wana bahati unakuta bar toka 2000 mpaka leo inapga nyomi tu na kuna wahudumu wa kawaida tu
 
miaka ya 2013 kuna bendi kadhaa zilikua zinagonga hapo Jacaranda almost daily,
nilitia mguu 2018, daaah
2019 wakafunga ikabaki Uhuru Peak, nayo ikawa inahemea pua moja ikiwa hoi, hata wale 'wauza ngozi' wakatoweka
 
Bar bila wahudu warembo wenye wezele itakufa tu

Halafu unawacheki wadangaji unawaambia waje kudanga hapo kwenye bar yako wana association yao na wanajuana.

Utapata wateja wengi sana

Mlevi bila kupitisha pitisha macho huku na kule kutazama miwezele hapati vibe wala stimu

Jiongeze
Ni kweli mkuu, mitaa ya Buza Tanesco kuna sweet corner pub ya kawaida tu, ila inakimbiza balaaa, siri yake ni hiyo Association nzima nadhani huwa inaamia hapo halafu kila siku visu vipya.
 
Ni kwel unayoyasema ila kuna watu wana bahati unakuta bar toka 2000 mpaka leo inapga nyomi tu na kuna wahudumu wa kawaida tu
Siyo bahati, kuna watu ni wazito sana, akipiga kafara moja ni karne nzima.

Hizo bar zipo hata ukipangishwa uziendeshe hupati changamoto za promo ya kupata wateja.
 
Ndugu hata ukifanya hivyo haitoshi, sema itasaidia i survive kwa muda mrefu kidogo, tatizo lililopo kwa wateja hata ukiwa na walembo kiasi gani, wateja wengi wanakuwa ni kwa ajiri ya ngono tu, wakishawamaliza wote wanaona hakuna jipya, na kama jirani yako patafunguliwa bar iwe na wahudumu wakali hao hao wateja wako watakimbilia kule!!

Cha muhimu ni kuwa na wahudumu walio makini na kazi na wanaojua nini wanafanya, mfano mzuri kwa dar kwenye bar za kisuma utakuta wahudumu wengi ni majimama tena watu wazima ila wateja ni nyomi, tatizo la hao unao waita wakali hawajitumi wao wako kibiashara zaidi hata akiwa na bwana yake mteja mwingine ukiingia hana muda na wewe!!! waulizie wale waliokuwa wanakimbizana kufuata wahudumu Singida waliishia wapi?
Hii biashara hii
 
Ukianzisha bar kwanza ujue unataka wateja wa aina gani. Ukiamua unataka wateja kama wa Rambo ya manzese wawekee menu yao na utadumu nao. Hawa ni wateja kama wa kimboka Buguruni. Unaweza uka target kama wateja middle class kama Rombo Green View na ukadumu nao. on the other hand kama huna target group maalum kama corner bar tegemea kufunga bar ikifunguliwa nyingine jirani. Cha msingi kwa wengi wa Dar. concentrate kwenye jiko na wahudumu waliojazia jazia na wacheshi kisha punguza mziki. Hata mimi utanipata.
👊
 
Ukitaka Bar idumu ajiri Meneja ambaye anajiheshimu na asiyetembea na wahudumu wake ili awe na sauti ya utawala juu yao. Ajiri wahudumu wanaofahamu nini maana ya kazi, wanaofahamu huduma kwa mteja ninini, wasioendekeza ngono maana ngono hupelekea wivu na magomvi kwa mteja hasa akifika mahali hapo na mke wake au ndugu/jamaa yake wa kike. Mwisho wake muhudumu huanza kutoa huduma kwa kinyongo au asitoe kabisa. Mwisho walipe vizuri kulingana na hali ya maisha ilivyo ili waishi kama binadamu wengine.

Kwa uzoefu wangu bar na ikifikia wahudumu kuonea wivu mwanamke yeyote anayeingia baa na mteja, na bado meneja asilione hilo hapo lazima ifungwe. Mameneja makini hugundua mapema na kuondoa generation yote hiyo na kuajiri wengine....
✊✊ ushauri konki sana huu
 
Weka pisi kali alafu zisikae sana zika zoeleka, hakikisha una badili mara kwa mara na ili ikuwie rahisi fanya mabadilishano na watu wa bar zingine zilizo mbali na ulipo at least 100km
 
Singida hasa warangi, wengi wao ni warembo sana, harafu huwa hawakatai mtu kirahisi, na ukiwaangalia wamejariwa.Ndio maana watu wengi waliokuwa wanafungua ma bar wanakwenda huko kondoa ana somba anakuja ana wapangia na gheto, kweli mwanzoni wanaume wale wakwale utawapata kweli!!hadi utaongeza viti, ila baadaye huduma itaanza kushuka kila leo kwani jukumu lao kubwa wanalisahau na ku base kwenye maslahi yao binafsi na mwisho wa siku ni kuanza kuondoka na kutafuta sehemu nyingine watakayoonekana wapya ili soko liwe zuri
Ndio maana hapo juu kuna jamaa kasema hawa mademu wamwe wanapewa mkataba tuseme umewapa ajira mwezi wa 6 mkataba unaisha mwezi wa 3 maana masika ikianza wateja wanakosekana kingine wateja wanaweza wakawa wameshapachoka hapo kazini so unaleta wapya
 
Back
Top Bottom