Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Usiogope mkuu, hakuna biashara inalipa kama pombe duniani, sema Jacaranda mwenyewe kafa (if am not mistaken), mbona kona bar, barakuda, yenu, mawenzi, pazi, hongera (kwa uchache) zipo hadi leo na zinafanya vizuri tu, sema usimamizi tu ndo muhimu na wanywaji wa Kinondoni huwa wanafuata upepo wapi iko mpya ndo wanajazana.
YENU Bar ipo saiti nzuri sana kupoteza wateja ni ngumu mno,ila bar ina wateja kuanzia Asubuhi