Kuanzia leo, biashara ya bar imeniogopesha

Kuanzia leo, biashara ya bar imeniogopesha

Kuna baa moja ilivuma sana pale mbezi mwisho imetazamana na kanisa katholic;
haikupita hata miezi mitatu panachoka ile mbaya.
 
Ni sawa mkuu ila mbona hata hiyo jacalanda ipo pembezoni mwa barabara kama calabash na paking ni kubwa tu?

Mkuu umesahau kuwa walevi wengi .... kumradhi.. wanywaji wengi wanapenda sehemu iliyo convenient kuwaagiza wanywaji wenzao wakutane ikiwa na pamoja na paking convenience lakini pia utawapata kiurahisi kama bar yako iko karibu ama pembezoni mwa barabara. Cha msingi kabisa juu ya yote haya wanywaji wengi wanapenda kukaa sehemu wanayoweza kuonekana kiurahisi. Ndo maana barabarani pembezoni kunahusika sana. nani anapenda kunywa mahali palipojificha wakati wanatafuta hela sehemu zilizo wazi ambazo hazijajificha?
Hakunagaaaaa. Na huo ndo mtazamo wangu ingawa kama umejirudia ila point ya mwisho inahusika sana
 
Mkuu umesahau kuwa walevi wengi .... kumradhi.. wanywaji wengi wanapenda sehemu iliyo convenient kuwaagiza wanywaji wenzao wakutane ikiwa na pamoja na paking convenience lakini pia utawapata kiurahisi kama bar yako iko karibu ama pembezoni mwa barabara. Cha msingi kabisa juu ya yote haya wanywaji wengi wanapenda kukaa sehemu wanayoweza kuonekana kiurahisi. Ndo maana barabarani pembezoni kunahusika sana. nani anapenda kunywa mahali palipojificha wakati wanatafuta hela sehemu zilizo wazi ambazo hazijajificha?
Hakunagaaaaa. Na huo ndo mtazamo wangu ingawa kama umejirudia ila point ya mwisho inahusika sana

inaweza kuwa kweliii
 
Jiko zuri, huduma kwa wateja iwe nzuri, lipa Malaya hata watano waje wakae tu hapo bar, ila wawe wakali, hao ni tofauti na wahudumu, hao Malaya waje wakae tu wape hata bia moja moja ya kuzugia, bishara haitokufa kamwe.
 
watu hasa wnywaji bombe wanapenda milupo kama ukawa na bar hafu waudumu shapeless huwezi uza kivile .
 
Ni sawa mkuu ila mbona hata hiyo jacalanda ipo pembezoni mwa barabara kama calabash na paking ni kubwa tu?

hizo bar watu wamezikimbia kutokana na wimbi la kuibiwa unawekewa madawa unazima wanakuibia mpaka chu.pi,pia mateja na mashoga kupiga vibomu na kuganda watu,achana nao wale.misheni.town wanaojifanya stori nyingi ili wakiombe bia.

Mkuu Jibu ushalipata hapo, na hii ipo sehemu nyingi na nimeliona hili Arusha kwa Pinpoint na Babyloan(hapa mabaunsa niwezi ukilewa tu umeumia)
 
Trick nzuri ni kubadili wahudumu wa bar kila baada ya miezi miwili na wawe visu vya ukweli lakini rahisi kugongwa na wateja, hapo bar yako haitakauka wateja
 
Weka wahudumu wazuri na kauli nzuri kwa wateja baa itadumu
 
Ndugu hata ukifanya hivyo haitoshi, sema itasaidia i survive kwa muda mrefu kidogo, tatizo lililopo kwa wateja hata ukiwa na walembo kiasi gani, wateja wengi wanakuwa ni kwa ajiri ya ngono tu, wakishawamaliza wote wanaona hakuna jipya, na kama jirani yako patafunguliwa bar iwe na wahudumu wakali hao hao wateja wako watakimbilia kule!! cha muhimu ni kuwa na wahudumu walio makini na kazi na wanaojua nini wanafanya, mfano mzuri kwa dar kwenye bar za kisuma utakuta wahudumu wengi ni majimama tena watu wazima ila wateja ni nyomi, tatizo la hao unao waita wakali hawajitumi wao wako kibiashara zaidi hata akiwa na bwana yake mteja mwingine ukiingia hana muda na wewe!!! waulizie wale waliokuwa wanakimbizana kufuata wahudumu Singida waliishia wapi?
Hii ya kufuata wahudumu Singida imenichosha nyokweeeee zao
 
Singida hasa warangi, wengi wao ni warembo sana, harafu huwa hawakatai mtu kirahisi, na ukiwaangalia wamejariwa.Ndio maana watu wengi waliokuwa wanafungua ma bar wanakwenda huko kondoa ana somba anakuja ana wapangia na gheto, kweli mwanzoni wanaume wale wakwale utawapata kweli!!hadi utaongeza viti, ila baadaye huduma itaanza kushuka kila leo kwani jukumu lao kubwa wanalisahau na ku base kwenye maslahi yao binafsi na mwisho wa siku ni kuanza kuondoka na kutafuta sehemu nyingine watakayoonekana wapya ili soko liwe zuri
Are you alive Sir?
 
ni kweli kabisa bar nyingi bongo zinawika kwa kipindi fulani tu baada ya muda inafifia kama sio kufa kabisa.Tatizo kubwa lililopo ni mfumo wao wa uendeshaji, nyingi haziendeshwi kama kampuni ndio tatizo.
 
Back
Top Bottom