ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Alikuwa majeruhi. Kila mtu anajua kuhusu hilo
Messi alikuwa majeruhi? Hahaha haya mahaba sasa ni noma. Haya bana, kila la kheri wazee
Messi alikuwa majeruhi? Hahaha haya mahaba sasa ni noma. Haya bana, kila la kheri wazee
-Ngoja nikukumbushe kidogo kijana.
-Msimu uliopita Messi alikuwa maheruhi na akakaa nje miezi mitatu, siku aliporudi aliingia dakika za nwishoni na akaweka kimyani bao 2.
-Barcelona misimu mitatu iiiyopita ilikuwa weak sana ktk defense na ndio maana ikawa inapoteza mechi za muhimu pale endapo beki mmoja akiwa majeruhi, alipigwa goli 4 na Bayern huku beki akiwa Bartra ambaye hana Experiance. Msimu uliopita tukacheza na Atletico UEFA wakatutoa huku tukiwa na mabeki ambao ni majeruhi, kama uliangalia ile mechi basi uliona ni namna Barca alivyosumbuliwa, angepigwa hata 6.
-Kama sio German, Argentina angeweza kumpiga mtu yoyote yule ktk fainali la kombe la dunia mwaka jana, na wachambuzi wengi walitegemea Geraman atabeba kombe. Hata Gaucho alibeba kombe huku akizungukwa na wakongwe akina De Lima Ronaldo, Rivaldo, Cafu, Roberto Carlos na wengi sana. Messi angekuwa anazungukwa na wakali ktk timu ya taifa angebeba kombe.
Kwahiyo Atletico timu ndogo?
Hahaha dah! We ni noma eroo, hii ligi ambayo upo siiwezi.-Ngoja nikukumbushe kidogo kijana.
-Msimu uliopita Messi alikuwa maheruhi na akakaa nje miezi mitatu, siku aliporudi aliingia dakika za nwishoni na akaweka kimyani bao 2.
-Barcelona misimu mitatu iiiyopita ilikuwa weak sana ktk defense na ndio maana ikawa inapoteza mechi za muhimu pale endapo beki mmoja akiwa majeruhi, alipigwa goli 4 na Bayern huku beki akiwa Bartra ambaye hana Experiance. Msimu uliopita tukacheza na Atletico UEFA wakatutoa huku tukiwa na mabeki ambao ni majeruhi, kama uliangalia ile mechi basi uliona ni namna Barca alivyosumbuliwa, angepigwa hata 6.
-Kama sio German, Argentina angeweza kumpiga mtu yoyote yule ktk fainali la kombe la dunia mwaka jana, na wachambuzi wengi walitegemea Geraman atabeba kombe. Hata Gaucho alibeba kombe huku akizungukwa na wakongwe akina De Lima Ronaldo, Rivaldo, Cafu, Roberto Carlos na wengi sana. Messi angekuwa anazungukwa na wakali ktk timu ya taifa angebeba kombe.
-Messi ndie mfalme wetu ktk mpira dunia ya sasa.
Miezi mitatu? unazan si wengine hatuna tv?
Haha hawa jamaa waache tu, huwezi ku-reason nao chochote kisichomtukuza Messi.hahaha uyo uyo messi kabla ya msimu huu alishindwa kufunga dhidi ya atletico madrid game sita mfululizo CR7 hajafunga jana wameanza kuongea
Pamoja naangalia burudani toka kwa Mess na Barcelona yake.Messi ameshapiga assist moja kwa goli la Neymar. Mambo yanaendelea
Messi ameshapiga assist moja kwa goli la Neymar. Mambo yanaendelea