Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu ronaldo ana impact gani na mechi kubwa ?
Hivi mechi gani kubwa Ronaldo kawa man of the match ??
Kila nikiangalia ronaldo mechi kubwa ni mavi tu
Ile mechi na dortimund aliishia kufichwa na schmeizer mechi nzima mwisho wa mechi wanakula goli nne
Ukija na bayern munich aibu niliona mimi jinsi anavyofichwa na Philipe lahm alimuiba kabisa
hawa liverpool ndio walimficha ronaldo mbaya zaidi alifichwa na kolo toure huyu aliyeisha mwishoni akapewa goli la penati tena hakusababisha yeye
Mechi ya mwisho walipokutana na barcelona mwisho wa mechi Ronaldo alionekana akimwambia benzema "we were all shit"
alitaka nani akusaidie
wote mashahidi kombe la dunia jamaa alichofanya alibahatika goli moja akatoka makundi hakuwa na positive impact hata kwa ghana
Ronaldo hatembei na mpira siku hizi labda uzee umemfika akinyimwa pasi anatukana analalama mpaka vyombo vya habari vinajua hilo
He is overrated player
Unajua jana alikuwaje pale Vicente Cardelon aibu niliona mimi
Katika mechi saba alizokutana na Ateltico ameshinda goli moja msimu huu sitaki kuzungumzia fainali ya Uefa msimu uliopita alisubiri penati ndio avue nguo zake uwanjani baada ya kukutana na wanaume
poa tutoe magoli matano ya messi wangeishia wapi na asingetoa assist kwa di maria
Hahahah kitendo cha kumpinga messi ni ishara ya kumkubali kupita kias
Kuna kitu hamjaki note,messi amegeuka mchezeshaj sana kwa sabab amepelekwa pemben alikokuw anacheza awal,hivyo hajaacha uchoyo ila nafac ndo inamkaba. Guardiola alikuw anampang ktkt ndo mana haikuw rahis kuchezesha wengn zaid y kufunga. Ukicheza sana pmbn utaishia kuwachezesha wengn zaid.
Pumba. Kwako mchezaji bora ni anayeperform big games tu kama ni hivyo basi aguero mkali kuliko messi na Cr7.
Ndani ya miaka6 ana hat tricks sawa na messi wa misimu 11. Kafunga kila mji pale Spain. Kafunga magoli ya kumwaga hadi sasa na ndio best player kama hutaki sijui akusaidiaje
Halafu tafuta maana ya free role kwenye mpira ili ujue aina ya uchezaji wa Cr7 wa Madrid ulivyotofauti na wa wakati ule akiwa MU.
Aisee MO11 huyu jamaa Ronaldo kakufanya nini? Mbona unamchukia sana? Naona bifu lako na yeye ni "personal" sana kumzidi hata Messi ambaye wakionana watasalimiana na kupiga stori. Huoni chochote cha maana kwake hata kimoja? Yaani hata wale makocha, waandishi wa habari na viranja wa timu za taifa waliompa uchezaji bora wa dunia mara mbili mfululizo wooote wamekosea? Punguza chuki kidogo aisee, sio vizuri kwa afya yako.
Hv nani kati ya hawa wawili amewai vunja rekodi ya magwiji wa mpira wa miguu duniani kama vile "Maradona,pele & dirimma"tukieleweshana hapa ndo tutajua nani mkali maana unapo vunja rekod ya alietangulia ndipo historia ya mpira inakutambua tafadhari mwenye kujua nani kavunja rekodi za hao watu kati ya Mess na christiano
Messi ni mchezaj bora, lakn mtambue ni jeur kiburi na mbinafsi pia, hebu jarbun kuangalia mpira kwa jicho la 3. Neymar anakuwa hayuko free sabab tu ya messi, muangalien messi anapoingia ktk 18, anahtaj one 2... Si messi huyu huyu alimsema cr. Tello kwa kutompa pasi ya kufunga.. Msitumezeshe sumu humu. Sawa messi mchezaj bora lakin hayo mengine hapana kwa kweliBoss, kwanza hakuna Real Madrid ya Ronaldo wala mtu yoyote yule. Na Ronaldo hachezi Madrid, matter-fact hachezi kabisa, ameshastaafu.
Pili, binafsi nakubali Messi ni zaidi ya Cristiano Ronaldo, ila huyu Messi mnayem-paint utakatifu si ndio alimgomea coach kutolewa uwanjani, na kukwaruzana na Lucho mazoezini, ama ni yupi?
Acheni hizi mambo bana, sifia wa kwako ila usimuongelee vibaya mwingine.
poa tutoe magoli matano ya messi wangeishia wapi na asingetoa assist kwa di maria
Messi kavunja rekodi ya Pelle ,Zara na gerd muller
Yaani hapo kapata mara mbili tu mfululizo unaumia hivyo, ikifika mara nne si utakunywa sumu kweli wewe? Mimi nimekushauri tu kiugwana, sio vizuri kiafya kuchukia mtu au kitu kiasi hicho.hivi aliyepewa mara mbili mfululizo na nne mfululizo mkali mara mbili ??