Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Wewe unazungumzia hukumu ya TFF au ya CAS? Hizo 69M alizowekewa Morrison kwenye akaunti bila yeye kujua ilikuwa janja ya viongozi wa Yanga ili ionekane kama hawadai chochote, na Morrison wala hakuzigusa. Ilipotoka hukumu ya TFF alizirudishaBut kumbuka morrison atalipa yanga 69m na yanga watamlipa 12m????
"Kiungo wa Simba, Bernard Morrison atalipwa kitita cha Swis 5,000 (sawa na Sh12,396,787) baada ya kushinda kesi iliyokuwepo baina yake na Yanga.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu Novemba 22, 201 na Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo (CAS) ikisainiwa na msimamizi wa shitaka hilo, Patrick Stewart, ambayo pia iliambatana na Yanga kulipa asilimia 90 za uendeshwaji wa shauri hilo."