Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 3,374
- 13,922
Maskini,yaani hata wengi hamjui kuwa ni planned si nyingi?He's almost to go, yaweza kuwa akili ime stalk, hopefully kila kitu kitakuwa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini,yaani hata wengi hamjui kuwa ni planned si nyingi?He's almost to go, yaweza kuwa akili ime stalk, hopefully kila kitu kitakuwa sawa.
nachekaga sanaHaha wanakuambia mungu tayari ana wateule wake hivyo ninyi wenye mioyo migumu sio wateule wake
😂😂😂Ila weweKwa kweli
Amebakiza pafupi agonge 90yrs
Si wanasemaga mtu akizeeka akili inarudi utotoni? Si ajabu dishi limeanza kuyumba
Haha! Mimi ndiyo auntie..😂😂😂Ila wewe
Hiyo ni taasisi na siyo maamuzi ya mtu mmoko.He's almost to go, yaweza kuwa akili ime stalk, hopefully kila kitu kitakuwa sawa.
Umetoa taarifa likini kwenye uongozi wa kanisa?Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.
Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.
Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli
Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.
Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.
Una amini katika nn?Nliachana na mambo za ukatoliki toka niko kidato cha pili. Kuna mambo mengi hayamake sense.
Mzee wangu alihisi tu huyu kijana anatukimbia lakini hakuwahi pata uthibitisho.
Actually, mimi siamini katika mambo ya makanisa
Watamwabudu Mungu katika roho na kweli....waabuduo halisi watamwabudu katika Mungu roho na kweli wala sio kule katolik au asemblez
Naamini katika uwepo wa Mungu lakini si kwa kufuata ima i yoyote. So nasali kivyangu vyanguUna amini katika nn?
Sidhani kuwa hiyo itakuwa sababu kuu kuamua hivyo.He's almost to go, yaweza kuwa akili ime stalk, hopefully kila kitu kitakuwa sawa.
Aah sawaNaamini katika uwepo wa Mungu lakini si kwa kufuata ima i yoyote. So nasali kivyangu vyangu
Mkuu ubaya au uzuri wa biblia inaweza kujustify chochote ndio maana kuna makanisa mengi na mahubiri mengi na kila mmoja atatetea kwa mistari fulani.Aah sawa
Lkn usisahau biblia imesema tusiache kukutanika mkuu
Ni kweliMkuu ubaya au uzuri wa biblia inaweza kujustify chochote ndio maana kuna makanisa mengi na mahubiri mengi na kila mmoja atatetea kwa mistari fulani.
So mimi nimeamua kuwa solo tu ...Ni kweli
Hii kingresa sioni kama iko sawa mamndenyiHe's almost to go, yaweza kuwa akili ime stalk, hopefully kila kitu kitakuwa sawa.
Wewe mvuta bangi lini ulikuwa mkatoliki? Tuanzie hapa kwanza. Unazifahamu hata sakramenti za Kanisa kweli wewe?Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi.
Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote.
Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho.
Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli
Waefeso 5:11-17
[11]Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
And have no fellowship with the unfruitful works of darkness, but rather reprove them.
[12]kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
For it is a shame even to speak of those things which are done of them in secret.
[13]Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.
But all things that are reproved are made manifest by the light: for whatsoever doth make manifest is light.
[14]Hivyo husema,
Amka, wewe usinziaye,
Ufufuke katika wafu,
Na Kristo atakuangaza.
Wherefore he saith, Awake thou that sleepest, and arise from the dead, and Christ shall give thee light.
[15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;
See then that ye walk circumspectly, not as fools, but as wise,
[16]mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu.
Redeeming the time, because the days are evil.
[17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.
Wherefore be ye not unwise, but understanding what the will of the Lord is.
Kanisa limeruhusu kubariki wapenzi wa jinsia moja CBS news, na BBC wameripotiLete ushahidi