Kuanzia leo mimi sio Mkatoliki tena, wala kanisa lisinizike, liendee na ushoga wake

Martin Luther aluvyo jiondoa huko mlimuona msaliti
 
Martin Luther aluvyo jiondoa huko mlimuona msaliti
Zile sababu 95 za Martin Luther zote zina logic sana

Vipi Mwanaume Mzima na Rijali tena Mtumishi wa Mungu anatakiwa asioe, hapo si ni kumruhusu kuzini?

Martin Luther aliacha upadri kwaajili ya issue hiyo na zingine
 
Zile sababu 95 za Martin Luther zote zina logic sana

Vipi Mwanaume Mzima na Rijali tena Mtumishi wa Mungu anatakiwa asioe, hapo si ni kumruhusu kuzini?

Martin Luther aliacha upadri kwaajili ya issue hiyo na zingine
Apige puchu hadi mauti. Ufala kabisa
 
 
Kasema ahami kanisa itasali nyumbani
 

Njoo katika uislam usalimike dada
 
Kwa mara ya kwanza, umenisitua katika uzu huu Depal
 
Watu maarufu ni wa kuwalea sana Kiroho. Kwao dhambi ni kama kunywa maji. Wala sio wa kuwategemea. Mara nyingi huingia kwenye dini inayowaweka huru kuendelea na maovi Yao.

Mfano Diamond na Manara, vijana wanaendekeza ngono waziwazi na Msikitini wanaingia kama kawa. Wala hakuna wa kuwakemea.
 
Yule afande Rama ni nani vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…