Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

Manzile

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
701
Reaction score
1,900
Ni bora akina Msukuma na Kishimba 100 pale bungeni kuliko maprofessor 5000 kama Manyele hapa nchini.

Elimu zao hazisaidii nchi...
Ng'ombe kutoa kinyesi cha kg25 kwa wakati mmoja na mkojo lita 20 ni kioja kingine kwa taifa.

Huyu jamaa TAKURURU kwa nchi zinazojielewa wangekuwa washaanza kumchunguza.

Yawezekana kapewa kitu kidogo ili kupindisha ukweli

Uliona wapi kamati 2 zote zinachunguza kitu kimoja na zikatofautiana kiuhalisia kwa mbali, kuna Kamati ya Bonde la Ziwa Victoria na hii ya Manyele.

Kamati ya Ziwa Victoria imeeleza uhalisia, hii ya professor uchwara ni ushuzi mtupu.
 
Hizi ni habari nyingi kwa wakati mmoja..

Yaani unataka kufuata wanasiasa katika mambo ya elimu ? Kwanini usifuate knowledge na wewe kuchanganya na zako ?

Kwamba Prof kala Mlungula ? Probably kwa hii nchi jambo kama hilo sio geni watu wanakula kwa urefu wa kamba zao..

Kwamba ngombe anaweza kutoa kinyesi cha kgs hizo kwa siku ? Jibu ni ndio
 
Ni bora akina msukuma na kishimba 100 pale bungeni kuliko maprofessor 5000 kama manyele hapa nchini.

Elimu zao hazisaidii nchi...
Ng'ombe kutoa kinyesi cha kg25 kwa wakati mmoja na mkojo lita 20 ni kioja kingine kwa taifa.

Huyu jamaa TAKURURU kwa nchi zinazojielewa wangekuwa washaanza kumchunguza.

Yawezekana kapewa kitu kidogo ili kupindisha ukweli

Uliona wapi kamati 2 zote zinachunguza kitu kimoja na zikatofautiana kiuhalisia kwa mbali, kuna kamati ya bonde la ziwa Victoria na hii ya Manyele.

Kamati ya ziwa Victoria imeeleza uhalisia, hii ya professor uchwara ni ushuzi mtupu
Ng'ombe aliyekomaa anakula kilo 45+/- kwa siku ... kutoa kinyesi Cha kilo 25 ni kitu kinachotegenewa,.... Binadamu anatoa wastani wa kilo 0.25,.. kitu Cha kustusha ni kwamba ng'ombe wa huko wanakunya na kukojoa mtoni tu Kisha wanaendelea na mambo mengine sehemu nyingine!
 
Hizi ni habari nyingi kwa wakati mmoja..

Yaani unataka kufuata wanasiasa katika mambo ya elimu ? Kwanini usifuate knowledge na wewe kuchanganya na zako ?

Kwamba Prof kala Mlungula ? Probably kwa hii nchi jambo kama hilo sio geni watu wanakula kwa urefu wa kamba zao..

Kwamba ngombe anaweza kutoa kinyesi cha kgs hizo kwa siku ? Jibu ni ndio
Duh
 
Halafu inawezekana mwezi wa pili na wa tatu ndo hyo mifugo imetoa samadi ya kinyesi na mkojo wa wingi sana cjui kwa nini haikuwa mwaka jana
 
Ng'ombe aliyekomaa anakula kilo 45+/- kwa siku ... kutoa kinyesi Cha kilo 25 ni kitu kinachotegenewa,.... Binadamu anatoa wastani wa kilo 0.25,.. kitu Cha kustusha ni kwamba ng'ombe wa huko wanakunya na kukojoa mtoni tu Kisha wanaendelea na mambo mengine sehemu nyingine!
Haaaaaa
 
Ng'ombe aliyekomaa anakula kilo 45+/- kwa siku ... kutoa kinyesi Cha kilo 25 ni kitu kinachotegenewa,.... Binadamu anatoa wastani wa kilo 0.25,.. kitu Cha kustusha ni kwamba ng'ombe wa huko wanakunya na kukojoa mtoni tu Kisha wanaendelea na mambo mengine sehemu nyingine!
na hiki ndio kipengele ambacho nimeshangaa, ina maana ng'ombe wanakunya mtoni tu? au hawaendi kuchungwa mahala pengine? dah anyways
 
Kwamba ngombe anaweza kutoa kinyesi cha kgs hizo kwa siku ? Jibu ni ndio
Nadhani hii si point kulingana na scandal iliyoshika hatamu.

Hapa ni hizo 25kg and other ni kweli ndizo zimeleta ile hatari na kusababisha mauaji mto Mara na ziwa Victoria?
 
👏👏👏
downloadfile-17.jpg
 
Ni bora akina msukuma na kishimba 100 pale bungeni kuliko maprofessor 5000 kama manyele hapa nchini.

Elimu zao hazisaidii nchi...
Ng'ombe kutoa kinyesi cha kg25 kwa wakati mmoja na mkojo lita 20 ni kioja kingine kwa taifa.

Huyu jamaa TAKURURU kwa nchi zinazojielewa wangekuwa washaanza kumchunguza.

Yawezekana kapewa kitu kidogo ili kupindisha ukweli

Uliona wapi kamati 2 zote zinachunguza kitu kimoja na zikatofautiana kiuhalisia kwa mbali, kuna kamati ya bonde la ziwa Victoria na hii ya Manyele.

Kamati ya ziwa Victoria imeeleza uhalisia, hii ya professor uchwara ni ushuzi mtupu
Kwa upupu wa Jana Musukuma ni Dokta wa kweli.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom