Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

Hizi ni habari nyingi kwa wakati mmoja..

Yaani unataka kufuata wanasiasa katika mambo ya elimu ? Kwanini usifuate knowledge na wewe kuchanganya na zako ?

Kwamba Prof kala Mlungula ? Probably kwa hii nchi jambo kama hilo sio geni watu wanakula kwa urefu wa kamba zao..

Kwamba ngombe anaweza kutoa kinyesi cha kgs hizo kwa siku ? Jibu ni ndio
Kwa ng'ombe kama pure fresian ni sawa wanaweza kutoa sababu wanao uhakika wakula vizuri na kibaya zaidi hawapo kama wapo ni wachache sana ila hawa ng'ombe wetu wa kishenzi wanaokula udongo hawana uwezo wakunya ata kilo tano.
 
Umasikini, Profesa analipwa mshahara wa mil 6 kwa mwezi. Manager tu wa Bank analipwa mara 3 ya huo mshahara
Manager wa bank analipwa mil 18 kwa hiyo ... aisee kweli .... NI USIKU WA GIZA
 
Ng'ombe aliyekomaa anakula kilo 45+/- kwa siku ... kutoa kinyesi Cha kilo 25 ni kitu kinachotegenewa,.... Binadamu anatoa wastani wa kilo 0.25,.. kitu Cha kustusha ni kwamba ng'ombe wa huko wanakunya na kukojoa mtoni tu Kisha wanaendelea na mambo mengine sehemu nyingine!
Watu wengi kwa kutoelewa wanadhani inapotamkwa kilo 25 za kinyesi wanataka kila ng'ombe awe na rundo lake sehemu moja.

Suala ni kwamba ng'ombe anakunya huku akiendelea kula nyasi all time.
Kwa hiyo ndani ya saa 24 ndio anazalisha hiyo kilo 25.

Halafu umepotosha kuhusu ng'ombe kujisaidia mtoni.

Ripoti haijasema hivyo bali ilisema mifugo ilirundikana katika eneo moja oevu la bonde la mto mara.

Hivyo tabaka la kinyesi chao lilisombwa kwa wakati mmoja na mvua kubwa iliyonyesha baada ya ukame wa muda mrefu.

Na kuingia kwenye mkondo wa maji ya mto mara na kisha kutuama kwenye rasi iliyogubikwa na magugu vamizi.
Water hyacinth.
 
Propesars Hawa ...

Kabudi
Mkumbo
Ndalichako
Tibaijuka
Mayele
Muhongo
Lipumba

Endeleza wengine....Hawa ndio wamechangia kulifikisha hapa taifa...
 
Kwa ufupi kamati ya huyo profesa inataka kutueleza kwamba mifugo waliopo kando ya mto huo wanatembea na kuishi na silaha za maangamizi(biological weapons) matumboni mwao.Takataka sana.
.... ha ha ha! Kiongozi umefafanua in a very simple language. Mifugo yetu ni biological weapons; dah! Very interesting.
 
Hizi ni habari nyingi kwa wakati mmoja..

Yaani unataka kufuata wanasiasa katika mambo ya elimu ? Kwanini usifuate knowledge na wewe kuchanganya na zako ?

Kwamba Prof kala Mlungula ? Probably kwa hii nchi jambo kama hilo sio geni watu wanakula kwa urefu wa kamba zao..

Kwamba ngombe anaweza kutoa kinyesi cha kgs hizo kwa siku ? Jibu ni ndio
Swali la kwanza umejibu vizuri...
Swali la pili. Je ng'ombe wakinya mtoni samaki wanakufwaa?
 
Ng'ombe aliyekomaa anakula kilo 45+/- kwa siku ... kutoa kinyesi Cha kilo 25 ni kitu kinachotegenewa,.... Binadamu anatoa wastani wa kilo 0.25,.. kitu Cha kustusha ni kwamba ng'ombe wa huko wanakunya na kukojoa mtoni tu Kisha wanaendelea na mambo mengine sehemu nyingine!
Yaani wanakunya na kujitawaza mtoni mpaka samaki wanakufa, na je miaka yote walikuwa hawanyi na kukojoa mtoni?
Propesa anaweza kusema labda vyoo vya kina ng'ombe vimejaa
 
Nilikuwa sijui kama mkojo wa punda unaweza kumfanya samaki akasinzia, huyu le profeseri kajipimia kwa kamba ya katani....
 
Mnabishana Kwa msichokijua bora kati yenu angekuwepo anaejua awaeleweshe tutafute Fact tusianze ku Attack Personality na Kudharirisha ,Kudharau Taaluma za Watu..My Side Prof Manyele namfaham Vizuri ni mtu ambae hana ubabaishaji na hua hataki kuyumbishwa kwenye Taaluma yake Kwa kile alichokifanyia kazi ndio maana Hata Mwenda zake Alimtoa kwenye Cheo cha Ukemia sababu Prof hakutaka kubambikia watu kesi kwa kutumia taaluma yake Anafundisha Vyuo kadhaa Nchini Canada 🇨🇦,ana Kampuni yake binafs ya Kuteketeza taka ngumu na lain Na zinafatenda kubwa mpaka Dubai ndo aje kushindwa kutoa Report ya Mto Mara?!ebu kuweni serious
 
Watoto wadogo kama Manzile na Njaakalihatari ebu oneni aibu ongeleen vitu vya level yenu msiyoyaelewa mjue sio level yenu nyie kamzungumzieni Steev Nyerere ahsanteni.
 
Mnabishana Kwa msichokijua bora kati yenu angekuwepo anaejua awaeleweshe tutafute Fact tusianze ku Attack Personality na Kudharirisha ,Kudharau Taaluma za Watu..My Side Prof Manyele namfaham Vizuri ni mtu ambae hana ubabaishaji na hua hataki kuyumbishwa kwenye Taaluma yake Kwa kile alichokifanyia kazi ndio maana Hata Mwenda zake Alimtoa kwenye Cheo cha Ukemia sababu Prof hakutaka kubambikia watu kesi kwa kutumia taaluma yake Anafundisha Vyuo kadhaa Nchini Canada 🇨🇦,ana Kampuni yake binafs ya Kuteketeza taka ngumu na lain Na zinafatenda kubwa mpaka Dubai ndo aje kushindwa kutoa Report ya Mto Mara?!ebu kuweni serious
Ona huyu nae...fact gani umeongea hapa zaidi ya kumsifia. Pimbi katika ubora wako
 
Yani mavi ya wanyama yameacha kuwa chakula cha samaki na badala yake yanawaua , le profeseri hatari sana, naona anavizia tena ateuliwe maana alipokua mkemia walikula kichwa huenda bado ana msongo wa mawazo.
 
Ni bora akina msukuma na kishimba 100 pale bungeni kuliko maprofessor 5000 kama manyele hapa nchini.

Elimu zao hazisaidii nchi...
Ng'ombe kutoa kinyesi cha kg25 kwa wakati mmoja na mkojo lita 20 ni kioja kingine kwa taifa.

Huyu jamaa TAKURURU kwa nchi zinazojielewa wangekuwa washaanza kumchunguza.

Yawezekana kapewa kitu kidogo ili kupindisha ukweli

Uliona wapi kamati 2 zote zinachunguza kitu kimoja na zikatofautiana kiuhalisia kwa mbali, kuna kamati ya bonde la ziwa Victoria na hii ya Manyele.

Kamati ya ziwa Victoria imeeleza uhalisia, hii ya professor uchwara ni ushuzi mtupu
Tanzania inapitia misukosuko mingi sana kiongozi - mengine ya ya kuguna tu kwa kutumia pua ili siku siende.
 
Swali la kwanza umejibu vizuri...
Swali la pili. Je ng'ombe wakinya mtoni samaki wanakufwaa?
Its all about quantity wakinya sana / mbolea ikiwa nyingi algae wanaongezeka wakiongezeka sana (algae usiku / bila photosynthesis wanatumia oxygen) hivyo dissolved oxygen ikipungua samaki wanakufa...

In short ndio maana hata wanaolima karibu na vyanzo vya maji kwa kutumia mbolea nyingi inaweza kuleta athari kama hii...

Sio kwamba nasema hicho ndicho kilichotokea Mara hapana sio hivyo lakini hio pia ni sababu moja katika uharibifu wa mazingira....

Pia unajua hata mbolea / samadi bila kuitumia kama Biogas ili kutumia ile methane ni moja ya uchafuzi wa mazingira sababu hio methane inaongeza global warming kuliko hata carbon dioxide

Kwahio nini kifanyike..., ufugaji uwe sustainable mbole inayopatikana itumike kwa kutengeneza gasi asilia then mbolea au itumike kama mbolea tupunguze hata mbolea za kemikali kama hizi zipo
 
Back
Top Bottom