Kuanzia leo nimeacha kuchepuka

Kuanzia leo nimeacha kuchepuka

Habari zenu wakuu.

Leo nimetafakari sana juu ya maisha yangu na michepuko.

Nimekuwa na tabia ya kuchepuka kwa muda mrefu sana na hatimaye nimefika tamati ya huu ujinga

Nimegundua hakuna faida yoyote ninayo ipata zaidi ya kupata hasara ya kuhusumia jitu lisilo na faida yoyote kwangu
Pia nimegundua kuchepuka kunaniweka mbali na MUNGU kwasababu mara nyingi nikitoka kuzini naona aibu hata kufanya sala yoyote

Kwaherini michepuko narudi kwa mke wangu mazima.
Umekuwa mkubwa sasa... hongera coz you're not a boy anymore.
 
Habari zenu wakuu.

Leo nimetafakari sana juu ya maisha yangu na michepuko.

Nimekuwa na tabia ya kuchepuka kwa muda mrefu sana na hatimaye nimefika tamati ya huu ujinga

Nimegundua hakuna faida yoyote ninayo ipata zaidi ya kupata hasara ya kuhusumia jitu lisilo na faida yoyote kwangu
Pia nimegundua kuchepuka kunaniweka mbali na MUNGU kwasababu mara nyingi nikitoka kuzini naona aibu hata kufanya sala yoyote

Kwaherini michepuko narudi kwa mke wangu mazima.
Ahsantee kwa taarifa, tafadhali badilisha na jina kwasasa usomeke kama ZIPU NZIMA
 
Habari zenu wakuu.

Leo nimetafakari sana juu ya maisha yangu na michepuko.

Nimekuwa na tabia ya kuchepuka kwa muda mrefu sana na hatimaye nimefika tamati ya huu ujinga

Nimegundua hakuna faida yoyote ninayo ipata zaidi ya kupata hasara ya kuhusumia jitu lisilo na faida yoyote kwangu
Pia nimegundua kuchepuka kunaniweka mbali na MUNGU kwasababu mara nyingi nikitoka kuzini naona aibu hata kufanya sala yoyote

Kwaherini michepuko narudi kwa mke wangu mazima.
IMG-20240731-WA0076.jpg
 
Habari zenu wakuu.

Leo nimetafakari sana juu ya maisha yangu na michepuko.

Nimekuwa na tabia ya kuchepuka kwa muda mrefu sana na hatimaye nimefika tamati ya huu ujinga

Nimegundua hakuna faida yoyote ninayo ipata zaidi ya kupata hasara ya kuhusumia jitu lisilo na faida yoyote kwangu
Pia nimegundua kuchepuka kunaniweka mbali na MUNGU kwasababu mara nyingi nikitoka kuzini naona aibu hata kufanya sala yoyote

Kwaherini michepuko narudi kwa mke wangu mazima.
Ukishaonja nyama ya mtu huwezi kuacha
 
Sio pesa na wewe.
Kisukari kikiingia, maana MTU unakwenda kujidhalilisha tu, roho inataka Vita askari hataki, kumuamsha shughuli na akiamka dakika tatu amerudi usingizini. Halafu unajua kisukari kikiingia hakitoki.
Hujaacha sema ndo vile roho ipo radhi lakini mwili ni dhaifu
 
Natamani na mimi kukufuata kwenye hatua hiyo ila tatizo ni ubabe na ubishi wa mke wangu unanisukumia njia za pembeni
 
Back
Top Bottom