Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Mkuu hivi gharama za kulipia ili biashara itangazwe kwa wengi mtandaoni huwa zinakuaje? Na utaratibu wa kulipa huwa unakuwa ni kila baada ya muda gani?Njoo dar uwekeze kwenye biashara ya kuuza Fanicha za ndani kama makabati bedi sofa vitanda utaifanya biashara hii mtandaoni mtaji wa m5 tu unatosha amini hautakuwa unakosa 600+ kwa mwezi wateja wanapatika fb na Insta na Whatsapp sio lazma kuwa na frame barabaran kazi Yako ni kupost bidhaa tu
NB.lazma uwe unalipia pages kwenye fb na insta ili upate wateja kiurahisi
2M ni biashara ya vijana wanaoanza maisha sisi tumeshakaa mtaani so tunatafuta biashara ya kutoka harakaMkuu wengine tunatafuta milioni mbili tu tuwekeze tunajua lazima mambo Yanyooke. Wewe 33 bado hujapata cha kufanya.. Duuh
I have a family to feedSasa unaogopa Nini mkuu? Unajua hapa Duniani everything is all about taking risks.Hata maisha haya tunayoishi huwa tuna- risk take tu.
Umenena vyema mkuu2M ni biashara ya vijana wanaoanza maisha sisi tumeshakaa mtaani sontunatafuta biashara ya kutoka haraka
Kama unataka wazo la biashara ya uhakika nicheki dmNi muda wa miezi kadhaa,sasa Niko na mtaji mkononi wa zaidi ya 40m nimejitahidi kutafuta biashara ya kufanya nimegonga mwamba.
Nimetafuta frame ili nianze biashara ya uwakala wa pesa ,Bank Wakala,na Mitandao ya simu. Nimekumbana na Kodi kubwa ya frame lakini pia location ya frame Kwa biashara husika haziendani kabisa, nimewaza kuuza nafaka Nako NILIFANYA analysis naona kama mtajinunaenda kudidimia huko, Nikawaza kilimo nikakumbuka kilishanizamisha mwaka juzi, Nikawaza nifungue duka la jumla Nikawaza nani akae pale na faida yake uwa ni kidogo sana hii biashara nikiangalia wanaofanya hawaendelei
Nimejaribu kutoa mtaji kidogo nikampeleka mtu anunue mahindi sumbawanga lakini wapi siku hizi mahidi hamna kule, serikali imeingia hadi wilayani kukusanya mahindi.
Mpaka sasa naona mtaji kila siku unazidi kupungua, kila baada ya week naona milioni inaondoka hata sijui nafanyia Nini.
Kimsingi kwa Africa hasa TZ kutunzia hela unaangalia si mchezo zinaisha bila kujua ulichofanya.
Na hii ikiisha sijui nitakuwa mtoto wa nani,juzi nilienda bank wakaniambia imebaki 33m.
Hapa sielewi kabisa.
Hiyo laki 3 na nusu imefanya nini?Uoga wako ndio umasikini wako.
mi niliingia kwenye biashara ya mikopo umiza bila kuhoji wala kufanya data collection.
cha msingi nilijichunga na chuma uleteView attachment 2706206
Nakazia "risk taker"Entrepreneur is a risk taker. Inaonekana unaogopa kutia hiyo hela kwenye biashara so ww huwez kua mfanyabiashara
Unakopa au unakopesha?Uoga wako ndio umasikini wako.
mi niliingia kwenye biashara ya mikopo umiza bila kuhoji wala kufanya data collection.
cha msingi nilijichunga na chuma uleteView attachment 2706206
Kwa kweli co mtaalamu wa digital marketing lakini unaweza angalia videos za maelekezo on YouTube Kuna maelekezo ya jinsi ya kufanya matangazo Fb na Insta, mimi niko na jamaa zangu wanafanya hivyo naona wanapiga sana HelaMkuu hivi gharama za kulipia ili biashara itangazwe kwa wengi mtandaoni huwa zinakuaje? Na utaratibu wa kulipa huwa unakuwa ni kila baada ya muda gani?
ishu yetu ni uthubutu wa kuanza biashara ngugu Lucha, sijui wewe Umelenga nini kwenye hilo swali mkuu? Na FYI, hio ni laki 5 na 30,Hiyo laki 3 na nusu imefanya nini?
Asante mkuu kwa mawazo Yako, ni mazuri sanaMkuu kwanza hongera kwa kuweza kuoambana Hadi kupata mtaji huo.
[emoji117]Cha kukushauri kaa chini tuliza kichwa, maana kila mtu ata kuja kukuambia tuwekeze hapa ni uhakika.
[emoji117]Ila kiuhalisia katika uwanja wa mapambano Hali ni ngumu kidogo.
Ila kwa mtaji ulio nao Jitahidi ku ugawanya ili kuweza kupunguza risk za kuendelea kuchoma pesa zaidi
[emoji117]Kwa maana ya kwamba usije ukadumbukiza pesa yote katika biashara 1 ukitegemea Mambo yatajipa[emoji855]. 50/50.
[emoji117]Unaeza ukagawanya hata ikawa 10m, 10m katika biashara 2 halafu hiyo remaining 10m ikatumika Kama back up ya biashara zako.
[emoji117]Maana shida sio kuanzisha biashara, ila ugumu ni kuisikamisha Hadi upate wateja. So think twice.
Pili unaeza ukajiuliza maybe una passion ya Jambo gani??, Kwanini una taka ufanye biashara[emoji848]
[emoji117]Lengo ni kupata pesa tu, au ni kuonekana nawe pia ni mfanya biashara[emoji855][emoji16]
[emoji117]Wafanya biashara wengi walio toboa huzingatia katika kutoa huduma au kuleta bidhaa ambayo ita tatua au kuondoa changamoto katika jamii. Eg watu Wana hitaji sabuni ili kufua.
[emoji117]Maybe Kuna sehemu watu ni wazee wa starehe so unaeza ukawa distributor wa gambe [emoji855][emoji16].
Nitarudi kuendelea, I mean no malice to nobody mshamba_hachekwi, political Engineer 2, Ushimen, Jack Palladino
NAKOPESHA MKUU KAUSHA DAMU MKUUπ π πUnakopa au unakopesha?
Penye miti hapana wajenziMkuu wengine tunatafuta milioni mbili tu tuwekeze tunajua lazima mambo Yanyooke. Wewe 33 bado hujapata cha kufanya.. Duuh