Hio engine ina tatizo gani hadi ikupe 5km/l? Kimsingi inatakiwa itoe 8km/l kama haijafungwa CVT gearbox. Ikifungwa CVT inakupa 12km/lMsaada tutani, ninahitaji kubadili engine ya gari yangu, sababu kuu ni kuwa nahitaji niifanye iwe gari ya biashara niwe naletewa hesabu kwa siku, engine nilonayo Ina CC 1790 na inatembea 5KM/L kwa mjini, nahitaji kufunga Engine yenye CC1450 walau biashara iwe inaleta faida.
Msaada tafadhali mwenye ushauri, mbadala pamoja na Mahalia napoweza fanikisha hili
Jini la 3500cc ina pata average 6kmpl hapa Dar, na wewe mwenye 1790cc unapata 5kmpl?Msaada tutani, ninahitaji kubadili engine ya gari yangu, sababu kuu ni kuwa nahitaji niifanye iwe gari ya biashara niwe naletewa hesabu kwa siku, engine nilonayo Ina CC 1790 na inatembea 5KM/L kwa mjini, nahitaji kufunga Engine yenye CC1450 walau biashara iwe inaleta faida.
Msaada tafadhali mwenye ushauri, mbadala pamoja na Mahalia napoweza fanikisha hili
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]imebidi nicheke tu mkuu na hiyo comment yakoJini la 3500cc ina pata average 6kmpl hapa Dar, na wewe mwenye 1790cc unapata 5kmpl?
Make apo kwanza ncheke
Fundi alidai shida ni nozzle zimebadilishwa lakini Bado ni kipengeleHio engine ina tatizo gani hadi ikupe 5km/l? Kimsingi inatakiwa itoe 8km/l kama haijafungwa CVT gearbox. Ikifungwa CVT inakupa 12km/l
Yeah, nashukuru ngoja nipitie
Pump mmeikagua?Fundi alidai shida ni nozzle zimebadilishwa lakini Bado ni kipengere
Hahahahah gari inakula wese kuliko Scania duh.😂😂😂Jini la 3500cc ina pata average 6kmpl hapa Dar, na wewe mwenye 1790cc unapata 5kmpl?
Make apo kwanza ncheke
Yeah imefungwa mpya mkuuPump mmeikagua?
Oxygen sensor?Yeah imefungwa mpya mkuu
Cc1800 8km/L?Hio engine ina tatizo gani hadi ikupe 5km/l? Kimsingi inatakiwa itoe 8km/l kama haijafungwa CVT gearbox. Ikifungwa CVT inakupa 12km/l
Yeah kuna gari zinapata hio economy, hasa za 4AT ila zenye CVT huwa zinafika 16.5km/l same engine.Cc1800 8km/L?
Nimeshangaa kwasababu hata Crown unapata zaidi ya hiyo.Yeah kuna gari zinapata hio economy, hasa za 4AT ila zenye CVT huwa zinafika 16.5km/l same engine.
Mfano wish inafika 14km/l with the same engine ila ikiwa kwenye premio ni 16km/l.
Nimeshangaa kwasababu hata Crown unapata zaidi ya hio.
"SIELEWIIII"Jini la 3500cc ina pata average 6kmpl hapa Dar, na wewe mwenye 1790cc unapata 5kmpl?
Make apo kwanza ncheke
5km/L ni coaster hiyo mkuu?Msaada tutani, ninahitaji kubadili engine ya gari yangu, sababu kuu ni kuwa nahitaji niifanye iwe gari ya biashara niwe naletewa hesabu kwa siku, engine nilonayo Ina CC 1790 na inatembea 5KM/L kwa mjini, nahitaji kufunga Engine yenye CC1450 walau biashara iwe inaleta faida.
Msaada tafadhali mwenye ushauri, mbadala pamoja na Mahalia napoweza fanikisha hili
Mjini napata 9km/L ni 4GR imenifanya nimeacha kutumia VW ya 2.0.Mkuu crown gani unapata zaidi ya hii???
Hamieni kwenye diesel engineMjini napata 9km/L ni 4GR imenifanya nimeacha kutumia VW ya 2.0.