Hapo uafrika wetu ndo matatizo yake yalipokalia,hivi kwa nini tunapenda kushabikia hizi dini kuliko waliozileta? Ndo kusema ulimbukeni au twamjua sana mungu.hebu fikiria mwana jf mwenzangu,kabla wakoloni hawajafika afrika tulikuwa tunaishi vp? Jamani hao ni wajanja tu kwanza wao wanatucheka mpaka leo,acheni hizo dini za kifisadi(deci nk)rudini kwa mababu zetu tulipotoka siyo lazima uitwe ahmed sayyd au joseph john ndo ukamilike,tusidanganyike na vijizawadi vya tende,magari,divai nk,kumbukeni tulipotoka enzi za mababu zetu kabla ya hawa mafisadi hawajaja.
Tumefikia kuvunja uchumba sugu eti hadi mmoja wetu afuate dini ya mwenza wake,hivi nani ana uhakika na anakokwenda????shuuuuuuuuuuut