Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 25
solution ya kikristo kwa suala hili ni kuwa "kama mtu ana mke asiyeamini na anakubali kuishi naye, asimuache"
hakuna ruhusa ya kumwacha kwa sababu ya kubadili dini, bali kuishi naye maisha matakatifu ya ndoa. ila akikataa kuishi nawe kwa ajili ya din yake mpya, una ruhusa kumuacha.
malezi ya watoto katika hali kama hii yatafuata dini ya baba (ama dini waliyozoea kama baba hana dini) hadi watakapokuwa na umri wa kuamua wenyewe wafuate imani gani
hakuna ruhusa ya kumwacha kwa sababu ya kubadili dini, bali kuishi naye maisha matakatifu ya ndoa. ila akikataa kuishi nawe kwa ajili ya din yake mpya, una ruhusa kumuacha.
malezi ya watoto katika hali kama hii yatafuata dini ya baba (ama dini waliyozoea kama baba hana dini) hadi watakapokuwa na umri wa kuamua wenyewe wafuate imani gani