Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Hizo shule wanafunzi hawasimamiwi kama kemebos, kemebos hadi muda wa kuoga mbapangiwa.

Kibaha iko open, ni rahisi mtu kwenda mail moja kufanya mambo yake
Basi mbinu za kemebos zimejibu vizuri...usimamizi kwa watoto ni muhimu
 
Sina muda wa kubishana na small minded people, watu wasiohoji....wew kiswahili unajua?au unafikiri kujua kiswahili ndo kuelimika? Hiv ni mhaya au muhaya? Hebu jifunze nawe kuandika kiswahili au unawaza mimi hapa ninayetoa hoja nikiwa huru ni maskini[emoji23]

So unatumia stendi ya mkoa kupima umaskini[emoji23] na unakataa ubora wa makazi huko vijijini...
-wewe Muhaya lakini Mbona huna akili? Wakati wahaya wenzako Wana akili.
- kwenye majibu yangu ya msingi nimekwambia maendeleo ya Mkoa yanapimwa na mambo mengi Sana, unatakiwa uelewe.
-
 
IST, ISM, Agakhan, Academic, FK, HOPAC lini umesikia zikitangaza wanafunzi bora?
Kwani zinatangaza au wanatangazwa? Kwanza mtaala wanaotumia sio Necta sasa watakuwaje kwenye ranks za Necta.
 
Huku kwetu, baraza la mitihani KNEC pamoja na wizara ya elimu zilifutilia mbali kuorodheshwa kwa shule pamoja na wanafunzi kitambo sana. Sababu kuu ni hizo hizo za NECTA, kupigia shule promo, walimu kuzidisha ushindani hadi kutumua njia za mkato ilmradi shule zao ziongoze. Hata hivyo, vyombo vya habari hujitahidi ku analyse matokeo na kutoa orodha zao binanfsi za wanafunzi bora na shule bora.
 
-wewe Muhaya lakini Mbona huna akili? Wakati wahaya wenzako Wana akili.
- kwenye majibu yangu ya msingi nimekwambia maendeleo ya Mkoa yanapimwa na mambo mengi Sana, unatakiwa uelewe.
-
Jifunze kuandika neno mhaya kwanza
 
Nchi nyingi zilizoendelea hakunaga cha kutangaza sijui best student or school. Wanaamini kila mwanafunzi ana uwezo tofauti ,so kuwashindanisha haina tija. Halafu huwezi wapima wanafunzi kwa mtihani mmoja tu.
Hata hapa Tz kuna shule kibao za International hazitangazi
 
ww jamaa sema tu unaipigia upatu hiyo KEMEBOS.........

Huwezi shindanisha watoto wanaolipa ada M10 kwa mwaka na hawa elimu bure kwani wanasoma katika mazingira tofauti ...

Nawapongeza Necta kwa hili ingawaje wamechelewa kustuka kwani tushapiga sana kelele huu utaratibu wa kutangaza top best ni promo ya biashara na kuchochea wizi wa mitihani
Naunga mkono hoja. Pia kuna shule zinabagua wanafunzi walio chini ya wastani na kuwapeleka vituo vingine ,hii inawajengea kutojiamini wanafunzi walobaguliwa .Kibaya hadi shule za dini zinafanya haya
 
Mtoa mada hiyo Twibhoki haukuona kwamba matokea yaliyotolewa ni ya mwanafunzi mmoja tu na mengine yamezuiliwa??? Unadhani itakuwa fair kulinganisha matokeo ya mwanafunzi mmoja na shule yenye wanafunzi 100+???
 
Mtoa mada hiyo Twibhoki haukuona kwamba matokea yaliyotolewa ni ya mwanafunzi mmoja tu na mengine yamezuiliwa??? Unadhani itakuwa fair kulinganisha matokeo ya mwanafunzi mmoja na shule yenye wanafunzi 100+???
Sijaona aisee mtu wa nguvu hembu nisogezee
 
Back
Top Bottom