Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Elimu yetu si inapimwa kwa kufaulisha sasa wakifanya vizuri wakatangazwa si ndo kunachochea shule zingine zijitume zaidi au, nimeshuhudia MUSABE ikipeleka waalimu wake wakafanye masters abroad ili waje wafaulishe zaidi
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto😂😂,
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula🤷‍♂️
 
Huu uzi unafutwa ni suala la muda tu..
 
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto[emoji23][emoji23],
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula[emoji2369]
Wao wanajua kabisa hawana chao hivyo wanajiongeza mapema sana
 
Serikali imefanya jambo la maana sana katika hili.
 
Unawaza kwa kutumia Mnduku? kuna faida gani kutangza shule bora? Tangu zianze kutangawzwa tusha wahi pata watalamu hata wa kuzalisha tothpick?
 
Nini faida ya kutangaza? Tusha wahi pata watalamu wa kuubda hata pini?
 
Wao wanajua kabisa hawana chao hivyo wanajiongeza mapema sana
Diamond, sultan, wema, wanaongea kimombo kama wahitimu wa havard😂🤷🏼‍♀️,wale wafaulu wa division one sijui wanafail wapi,, 🤷🏾‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…