Centia2
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 1,018
- 1,640
usitumie hisia bro,hapo hata 1/4 ya wahaya hawapo.pale ni matajir wapo.Wahaya mshaanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usitumie hisia bro,hapo hata 1/4 ya wahaya hawapo.pale ni matajir wapo.Wahaya mshaanza
Hao jamaa unakumbuka mwaka walikuwa wanazunguka na gari baada ya kuwa wa kwanza hakuna jamii yenye sifa kushinda wahaya bongo ,zile kama sio sifa ni nn?usitumie hisia bro,hapo hata 1/4 ya wahaya hawapo.pale ni matajir wapo.
Nawakubali wanajua sana !!Hata mimi ningekuwa na hela hizo ningekuwa na sifa tena kumzidi aisee
Hebu taja tija moja tuEti kutangaza Top 10 hakuna tija.....hahahaha
Hivi hawa jamaa wanafikiri kila mtu mjinga mjinga sio....
Mficha maradhi kifo humuumbua....
Unachanganya mambo inao ekana hatabuelewa wako ni finyu, wacha kucopy comment za wakina Malisa na kuleta humuBasi hata top 10 ya mikoa inayoongoza kwa kukusanya kodi au mikoa bora kwa GDP isitangazwe tena maana wanachochea ukusanyaji wa mapato kwa njia haramu
Faida za kutangazwa ni zipi? TajaLazima waamue kwa maziro yote hayo hakuna namna....
Mficha maradhi kifo humuumbua...
Faida za kutangaza nina uhakika huwezi taja hata nusu, mmekaa kuiga kwenye hoja tu, hebu taja hata faida nusu tuNchi hii iliwahi kufuta masomo ya sayansi,kuunganisha physics na chemistry,kupunguza alama ili vilaza waonekane wamefaulu,badala ya kusema hawa wamefeli,wakaja na msemo,"ufaulu usioridhisha"haya nicmadudu wakati wa Kikwete na kwmpeni yake ya "big result now"matokeo makubwa sasa,
Sasa huyu ustaadh amekopi mbinu ya kaka yake kikwete,shule za serikali zimefelisha sana,sasa dawa tusitangaze,kuficha aibu.
Hao kuna ambao baada ya miaka 10 utawakuta mbali sana na hutaaminiImagine hii shule View attachment 2499324
Tangu wakiwa wnataja je elimu iliimarika? Tulipara elimu bora ya kuunda hata pini?Poor Tz yaan kila ktu ni siasa
Ujue watu wanazania ukisha pata zero basi unasubilia kuzikwa, ni kama zamani ukipatwa na ngoma una ngoja kifo tu,Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto[emoji23][emoji23],
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula[emoji2369]
Kabisa, wajinga humu hawawezi elewaSerikali imefanya jambo la maana sana katika hili.
LuckDiamond, sultan, wema, wanaongea kimombo kama wahitimu wa havard[emoji23][emoji2372],wale wafaulu wa division one sijui wanafail wapi,, [emoji2377]
😂😂,Mie boss wangu ni La saba failure,, lakini ndio bigboss😂🤷🏼♂️Ujue watu wanazania ukisha pata zero basi unasubilia kuzikwa, ni kama zamani ukipatwa na ngoma una ngoja kifo tu,
Walimu wenyewe ndio hao wanao wachapa watoto fimbo za kwenye unyayo?.....Ndo maamuzi yametoka. Na Kuanzia 2024 Serikali itakuwa na English Medium zake kwa bei ya kawaida,
Hutaki chapwa?Walimu wenyewe ndio hao wanao wachapa watoto fimbo za kwenye unyayo?.....