Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Hizo shule zinazosifika kufaulisha kila mwaka, kiuhalisia huwa wanatafuta/ pengine hata kufanya scouting kupata cream ya wanafunzi walio bora vichwa/kiakili.....


Inapobidi wanapewa hata motisha ya kusoma free...yote hii ni kuifanya shule ibaki kwenye peak yake kibiashara.....

hata inapobidi uharamia wa kuiba mitihani kwa gharama yoyote ile ukihusika....japo mara Moja Moja hutokea...( Mwenye nacho anaongezewa/mkono mtupu haulambwi na NEC Tai ya shingoni!)

Kondoo ni kondoo tu! Hajawahi kuwa mbuzi!.....
Hata umrembe mithili ya malkia wa sheebah!......,atabaki kuwa kondoo tu!!!

Kwenye shamba la mpunga, ......hauwezi ukavuna mihogo!....

Hao wanafunzi wa st. kayumba hata wakihamishwa shule, na wabadilishiwe waalimu, wawe ni malaika! Wakasomee mbinguni! Hakuna kitu!!!

Mwenye akili atabaki kuwa mwenye akili tu....hata akisomea chini ya mianzi...


Serikali iache propaganda uchwara!.
 
usitumie hisia bro,hapo hata 1/4 ya wahaya hawapo.pale ni matajir wapo.
Hao jamaa unakumbuka mwaka walikuwa wanazunguka na gari baada ya kuwa wa kwanza hakuna jamii yenye sifa kushinda wahaya bongo ,zile kama sio sifa ni nn?

Angalia hata gari ya mkurugenzi kuweka private plate number kama sio sifa ni nn?
 
Basi hata top 10 ya mikoa inayoongoza kwa kukusanya kodi au mikoa bora kwa GDP isitangazwe tena maana wanachochea ukusanyaji wa mapato kwa njia haramu
Unachanganya mambo inao ekana hatabuelewa wako ni finyu, wacha kucopy comment za wakina Malisa na kuleta humu
 
Nchi hii iliwahi kufuta masomo ya sayansi,kuunganisha physics na chemistry,kupunguza alama ili vilaza waonekane wamefaulu,badala ya kusema hawa wamefeli,wakaja na msemo,"ufaulu usioridhisha"haya nicmadudu wakati wa Kikwete na kwmpeni yake ya "big result now"matokeo makubwa sasa,
Sasa huyu ustaadh amekopi mbinu ya kaka yake kikwete,shule za serikali zimefelisha sana,sasa dawa tusitangaze,kuficha aibu.
Faida za kutangaza nina uhakika huwezi taja hata nusu, mmekaa kuiga kwenye hoja tu, hebu taja hata faida nusu tu
 
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto[emoji23][emoji23],
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula[emoji2369]
Ujue watu wanazania ukisha pata zero basi unasubilia kuzikwa, ni kama zamani ukipatwa na ngoma una ngoja kifo tu,
 
Basi waanzishe utaratibu wa kuwa shule itakayopata matokeo mabovu zaid kwa maana ya shule zinazo buruza mkia walimu wake wasimamishwe kaz maana hizo shule hazina faida
 
Back
Top Bottom