Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Pia kuna shule za ndugu wale huwa zinashika mkia tangu zianzishwe ni aibu tupu. Wanaajiri walimu wenye itikadi yao hata kama ni empty set vichwani mwao. Kwa huu mtindo mpya wa kutotaja shule bora kutaficha udhaifu wa shule za hao ndugu
Lakinini baada ya kusoma fuatilia maisha ya waliosoma kwenye shule hizo na maisha ya waliosoma katika shule zile zingine za mlengo wako ulete mrejesho.
 
Sasa Tanzania Kuna mkoa husiokuwa maskini....

Mkoa gani huo watu wake wana maendeleo hata kujilinganisha na nchi za dunia ya kwanza...

Tanzania sijaona mkoa unaoweza kusema umeendelea sana hadi waone kagera ni maskini...yote yale yale tu...bora hata huko Bukoba vijijini kuna nyumba bora
Ndo uwe na umaskini kiwango kikubwa ni aibu na misifa yote ni takataka tu... uwekezaji kweny elimu una mbinu zote haswa katika ushindani na marketing kaaa kijanja ...
 
Iko wazi hao wanaishia kusoma kwa hela mingi na kufaulu kwa alama kubwakubwa tu lakini kama baba yake hakumwachia kampuni ya kurun business ndo basi imetoka hiyo, wanaotusua ni hawa hawa wa kayumba
 
Pia kuna shule za ndugu wale huwa zinashika mkia tangu zianzishwe ni aibu tupu. Wanaajiri walimu wenye itikadi yao hata kama ni empty set vichwani mwao. Kwa huu mtindo mpya wa kutotaja shule bora kutaficha udhaifu wa shule za hao ndugu

eb3f193a-bbb0-4c10-97d3-47234d334918.jpg
 
Hao hao ndiyo wamekufanya uandike uharo wako hapa na wasingekuwa wao na walioshirikiana nao usingekuwa hapa unakoandika na kupost ujinga ujinga. Hivi tanzania yetu hii ni mkoa upi ni tajiri na upi ni masikini. Ulivyo mjinga unajua mkoa mzima wa kagera ni wahaya. Wewe endelea kula ugali wa bure hapo kwa dada yako na usipokuwa makini utaolewa na huyo shemejiyo. Masuala ya sifa na umasikini waachie wenyewe na wanaofanya tafiti zao na usije ukajilinganisha nao kwa maana wanapata mahitaji yao ya msingi kwenye eneo lako tofauti na wewe unayeenda kuhemea kwa shemeji yako utakufa bure
Ona ulivyokuwa mpumbavu!! Tena kilaza wa mwisho !!
Wale wanaojiuza kwa sababu ya umaskini kule mwananyamala sio wahaya ? We ni mjinga wa mwisho wale wameondoka kwao umaskini ni mkubwa Bora waje kupata hata 3k kwa kujiuza.

Mkoa ni ovyo kabisa sifa na ushamba kila kona ,ujanja muutoe wapi mkija mjini mnao kule kwenu takataka ndo maana hamjengi..Hata wewe hutaki kurudi kwenu unapaona takataka.
 
Lakinini baada ya kusoma fuatilia maisha ya waliosoma kwenye shule hizo na maisha ya waliosoma katika shule zile zingine za mlengo wako ulete mrejesho.
maisha baada ya shule au chuo yana determine uwezo binafsi nje ya mfumo wa elimu alioupitia mwanafunzi, ndio maana wengi wanaishia kujishughulisha na mambo ambayo hawakusomea na maisha yanaenda vizuri tu
 
Ndo uwe na umaskini kiwango kikubwa ni aibu na misifa yote ni takataka tu... uwekezaji kweny elimu una mbinu zote haswa katika ushindani na marketing kaaa kijanja ...
Basi wangekuwa wanatangaza hali ya hatari kila siku mkoa wa kagera...kama kungekuwa na umaskini wa kiasi hicho.

Ulishawahi ona wanaomba misaada ya chakula au malazi?

Hizo takwimu za per capita ni simple tu wanachukua Pato la mkoa wanagawa na population... kama watu wa kagera hawanunui sana chakula wanakula kutoka shambani? Vip ulishawahi ona mashamba ya ndizi yalivyo na mixed farming...

Ukienda kagera hasa huko vijijini ukaona hali ya maisha ikivyo tukianza na makazi, huduma za kijamii na aina ya watu na hizo takwimu zako utajiona mbuzi
 
Kwa kukariri, hao baada ya miaka kadhaa hutajua wamepotelea wapi
Lakini ndiyo ujue watoto wa Vigogo wa nchi hii ndiko wanakosoma huko... Umewahi kuona mtoto wa waziri au hao watendaji wa Baraza anasoma shule za Kata? Nitajie tafadhali... Elimu nchi hii itarudi kwenye mstari wake pale ambapo watoto woootee wa viongozi wa umma kuanzia juu mpaka chini watakuwa wabasoma kwenye shule za serikali. Miaka ya nyuma ilikuwa kawaida kuona watoto mpaka wa rais, Waziri mkuu, mawaziri nk wanasoma Weruweru sec, Old Moshi sec, Kilakala sec, MZUMBE, Kibaha etc.. Ndiyo maana kulikuwa na mpaka exchange programs ambapo kuna shule walikuwa na walimu wazungu kutoka nchi mbalimbali jambo ambalo lilisaidia kuleta mbinu mpya za kufundisha,vifaa vya kufundishia nk. Nowadays hakuna tena mambo hayo coz wanaofanya hayo maamuzi watoto wao hawasomi hukoo. Pia niwakumbushe kwamba miaka ile elimu yetu ilipoanza kuzorota wazazi wenye uwezo walikuwa wanapeleka watoto wao nje ya nchi, wengi ilikuwa ni Kenya na Uganda kidogo. Hapa wenzetu walichuma sana fedha za watanzania waliokuwa wanapeleka watoto nje ya nchi, mpaka watanzania wazawa, akuwemo yule mama wa St Mary, walipoanza kuwekeza kwenye hizi English medium schools, tena kwa kuchukua walimu from Kenya. Walianza kwa shida sana lakini baadae waliweza kuaminika humu nchini na wazazi wakaacha sasa kupeleka watoto huko Kenya na Uganda. Nayasema haya kwa msingi kwamba serikali, pamoja na mambo mengine isiwakatishe tamaa hawa wenye hizi shule binafsi. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni jamani.
 
Pia kuna shule za ndugu wale huwa zinashika mkia tangu zianzishwe ni aibu tupu. Wanaajiri walimu wenye itikadi yao hata kama ni empty set vichwani mwao. Kwa huu mtindo mpya wa kutotaja shule bora kutaficha udhaifu wa shule za hao ndugu
Hao wanaoshika mkia baadae wamejiajiri hao full set wanazunguka na bahasha
 
Basi wangekuwa wanatangaza hali ya hatari kila siku mkoa wa kagera...kama kungekuwa na umaskini wa kiasi hicho.

Ulishawahi ona wanaomba misaada ya chakula au malazi?

Hizo takwimu za per capita ni simple tu wanachukua Pato la mkoa wanagawa na population... kama watu wa kagera hawanunui sana chakula wanakula kutoka shambani? Vip ulishawahi ona mashamba ya ndizi yalivyo na mixed farming...

Ukienda kagera hasa huko vijijini ukaona hali ya maisha ikivyo tukianza na makazi, huduma za kijamii na aina ya watu na hizo takwimu zako utajiona mbuzi
🤣🤣🤣Umeambiwa per Capital income !!waangalia asilimia za watu wanaojiweza katika mahitaji muhimu..katika per Capita income maana hata Lindi inaingia top ten kweny per Capita ila sio level ya umaskini.

Fuatilia izo ni takwimu mbili tofauti.
 
YOTE kheri!

Tatizo sio kufaulu tatizo wakishafaulu na kuhitimu vyuo watafanya nini kitaa!!?

Watajiajiri kivipi!?

Watapaje mkate wa KILA siku!?hasa baada ya mzazi kujipinda kusomesha KWA kuuza mashamba na mifugo!!?

KWA elimu hii iliyopo jamani nyie mnaona nini mbeleni!!!?

Mnaona kama Mimi!? Mimi naona kundi kubwa sana la organized crime advanced Panyaroad KWA kitaa na virungu havitoshi kabisa kuwatuliza!!!

Mungu ibariki TANZANIA nchi yetu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeambiwa per Capital income waangalia asilimia za watu wanaojiweza katika mahitaji muhimu..katika per Capita income maana hata Lindi inaingia top ten kweny per Capita ila sio level ya umaskini.

Fuatilia izo ni takwimu mbili tofauti.
Zilete hizo takwimu....maana najua kagera wanaiterm ya mwisho kwenye umaskini wa kipato ambayo ndo per capita....ambayo ndo GDP÷population...Ambalo ni jambo linalorekebishika haraka...miaka 60 mpaka 80 huko kagera hii hii ilikuwa ya pili nyuma tu ya dar kwa ahueni ya maisha....so hio hali inarekebishika serikali ya kagera ikiwa serious kwenye mapato yake

Kagera ndo mkoa unaoongoza kwa magendo nchi..so labda viongozi wake ni wazembe....


So kwako lindi ni bora kuliko kagera[emoji23]
 
Ndiyo maana nasema wewe endelea kujifungua hapo kwa dada yako mwishowe utapakatwa na huyo shemeji yako. Siku ukijitambua utaacha kukariri na usije kujidanganya kwamba kila unayemuona yuko hapo au anaongea lugha yao basi ni mhaya na ukiona unaenda kununua malaya basi wewe huna akili na huyo malaya atakuwa amekuzidi akili kwa maana huwezi kuwa timamu utafute hela yako alafu uende kununua malaya.

Kwetu mbeya tukuyu na kwa tanzania hii hakuna wanaopenda kurudi na kujenga kwao kama wahaya na wachaga..narudia hakuna. Kama ni umasikini ni tanzania nzima na ndiyo maana wenye akili wanatoka na kwenda kutafuta. Wewe kama umewaona hao wanaojiuza kwamba ndiyo maisha yao basi umepotea.
Kwa taarifa yako ukimuona binti wa kihaya anajiuza jua kashaharibu kwao na kakataliwa na famili kwa maana kwao ukiharibu ni unakataliwa.

HIvi dada yako ashaacha kujiuza pale chalinze?
Hao ni wahaya hata usemeje acha kuleta shobo na mkoa wa watu mkoa weny mchanganyiko ni Dar hakuna mwingine.

Punguza ushamba !!
 
Hizo shule mnazisifia bure tu, Ile kuingia form 1 wanachukua cream tupu wakat shule za kata darasa la Saba hua linahamia kama lilivyo wengine hawajui hata kusoma, Angalia kidato cha 5 na 6 watoto wengi wanaopangiwa shule za serikali Wanaripoti huko, matokeo yake private zinapitwa na serikali.
 
Eti mkoa wenye mchanganyiko ni dar. Kumbe wewe ni kiazi namna hii..narudia tena toka hapo kwa shemeji yako utaoakatwa bure
Taja sasa !! Nina watu kama wew nawalisha punguza ujuaji mshamba.
 
mwaka huu one za point 7 nyingi saanaa saana...ila kwa navozijua mzumbe na ilboru...kwenye swala la top 10 wangetoa hata mwanafunzi mmoja mmoja..nimesoma shule moja wapo hapo..kule ni msuli yatiba ila ni vipanga haswa kuliko hao...fedha, sjui kemebos...sema nashukuru umeanza kwa kuzitaja shule bora za serikali kabla ya hizi private kuja kuleta changamoto mpya kwa serikali kitaaluma..!! ila kiukweli kabsa naona si sahihi..inapunguza motisha na hali ya kujituma
 
Back
Top Bottom