Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto😂😂,
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula🤷‍♂️
Hao uliowataja fatilia watoto wao wamewapeleka shule gani utapata majibu kuwa shule Ina umuhimu kiasi gani
 
Necta walisema mapema sana mwaka 2022 kwamba kuanzia mwaka huu matokeo hayatatoa 10 bora. Walisema hivo kabla hata mitihani haijasahishishwa inawezekana hata iuanza ilikuwa haijaanza.
Point waliyotoa NECTA iko sahihi na serikali inatakiwa kuona ukweli huo. Hivi una akili timamua hata wewe unayeandika kunfananisha mtoto wa private na serikali? Mtoto anaamka asubuhi hajui kama atakula mchana, hana nauli, kwenye daladala anasukumwa sukumwa tu, njiani anakoswa koswa na bodaboda, akifika home wazazi wanaoigana au anapewa ubuyu na maandazi akauze, akirudi apike na kufanya kazi za ndani na wakqti huo umeme uneishq haqwzi kujisomea au anaishi nyumba haina uneme, bado hana madaftari na vitabu vya kusoma kwa sababu serikali haijapeleka vitabu mashuleni kwa ratio hata ya 1:2 ubakuta labda ration ni 1:10😐 na haviendi kila mwaka, je kama kuna mtoto kapoteza kitabu kitakuwa replaced vipi? Bado huyo mzazi hawezi afford vitabu kwa mtoto.Mtoro anarudi home anakuta hata chakula hamna. Mtoto wa tandale ubamfabanisha na mtoto wa Masaki uko sawa kichwani au ni USHABIKI NA MIHEMKO????😳🤔.
Na serikali hili waliangalie ndo maana walimu wanakuwa wakali kuoitikoza kwa sababu serikali inalazimisha wakimu wa serikali kufaulisha katika mazingira yasiyowezekana kabisa wanaguka mbogo kwa wanafunzi katika kutekeleza yasiyo wezekana
 
Necta walisema mapema sana mwaka 2022 kwamba kuanzia mwaka huu matokeo hayatatoa 10 bora. Walisema hivo kabla hata mitihani haijasahishishwa inawezekana hata iuanza ilikuwa haijaanza.
Point waliyotoa NECTA iko sahihi na serikali inatakiwa kuona ukweli huo. Hivi una akili timamua hata wewe unayeandika kunfananisha mtoto wa private na serikali? Mtoto anaamka asubuhi hajui kama atakula mchana, hana nauli, kwenye daladala anasukumwa sukumwa tu, njiani anakoswa koswa na bodaboda, akifika home wazazi wanaoigana au anapewa ubuyu na maandazi akauze, akirudi apike na kufanya kazi za ndani na wakqti huo umeme uneishq haqwzi kujisomea au anaishi nyumba haina uneme, bado hana madaftari na vitabu vya kusoma kwa sababu serikali haijapeleka vitabu mashuleni kwa ratio hata ya 1:2 ubakuta labda ration ni 1:10😐 na haviendi kila mwaka, je kama kuna mtoto kapoteza kitabu kitakuwa replaced vipi? Bado huyo mzazi hawezi afford vitabu kwa mtoto.Mtoro anarudi home anakuta hata chakula hamna. Mtoto wa tandale ubamfabanisha na mtoto wa Masaki uko sawa kichwani au ni USHABIKI NA MIHEMKO????😳🤔.
Na serikali hili waliangalie ndo maana walimu wanakuwa wakali kuoitikoza kwa sababu serikali inalazimisha wakimu wa serikali kufaulisha katika mazingira yasiyowezekana kabisa wanaguka mbogo kwa wanafunzi katika kutekeleza yasiyo wezekana
Na hata mitihani hapo baadae iwe tofauti... Kila mtu apimwe sawa na mazingira yake na vile alivyoandiliwa..
 
Shida yetu wa Tz kila kitu kupinga. Mimi niko upande wa NECTA, sababu walizotoa. Ifike sasa shule binafsi zitafute njia ya kujitangaza.
Kuna shule wanawachuja watoto mpaka wanabaki, wale wazuri kabisa.

Huwezi shindanisha na wa Serikali kwa hilo, kinachotakiwa wa Tz tupambane na Serikali, shule za Serikali zipewe kipaumbele. Fedha nyingi zinazopangiwa bajeti ya vitu visivyo vya muhimu, ziende kwenye elimu na zisimamiwe ipasavyo.

Tukajifunze Nairobi hapo, shule za Serikali unapigania kupeleka mtoto, labda sasa iwe imebadilika. Mazingira mazuri ya kusomea, walimu na vitendea kazi vikiwepo, shule za Serikali nazo zitafanya vizuri. Kuna watoto wenye uwezo mkubwa huko, ila sababu ni shule ya kata hawafanyi vizuri.
 
Elimu yetu si inapimwa kwa kufaulisha sasa wakifanya vizuri wakatangazwa si ndo kunachochea shule zingine zijitume zaidi au, nimeshuhudia MUSABE ikipeleka waalimu wake wakafanye masters abroad ili waje wafaulishe zaidi
Musabe wezi tu hao...wamefungiwa mwaka jana
 
29.1.2023 Necta imetangaza rasmi matokeo ya kidato cha nne (CSEE) 2022, matokeo haya yamekuja na utaratibu mpya ambapo hakuna kutajwa nafasi ya shule kitaifa na kimkoa maana yake pia hakuna utaratibu wa kutaja shule zilizoongoza kitaifa sanjari na hayo NECTA imefuta utaratibu wa kutaja wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa maana yake zile mbwembwe za kwenda kupongezwa bungeni na kuitwa TO zimezikwa rasmi, Vijana wa shule kama Mzumbe, Ilboru , Kibaha na nyinginezo watakuwa hawasomi kwa mzuka tena ili kuibuka kipanga wa TAIFA(TO).Moja ya sababu iliyotajwa ni kuwa NECTA imeona kwa kutangaza shule zinazofanya vizuri inazipa promo la bure shule hizo, hapa sijui wanataka shule zianze kulipia matangazo 🤣 anyways ya NECTA tuwaachie wenyewe

Taratibu mpya za utangazaji matokeo za NECTA hazijafanya jitahada za baadhi ya shule zisijulikane, hapa nazungumzia maajabu yaliyofanywa na shule kutoka mkoani BUKOBA ijulikanayo kama KEMOBOS, shule ya KEMOBOS kama ingetokea NECTA imetangaza shule 10 bora za mwaka 2022 bila shaka hii ingeibuka kidedea. Iko hivi ndugu zangu,

KEMOBOS ilikua na watahiniwa 68 katika hao watahiniwa 68, watahiniwa 65 wamepata daraja la kwanza la alama saba(1.7) maana yake wanafunzi 68, 65 wamepata A saba na kuendelea kwenye jumla ya masomo yao.

Watahiniwa wawili ambao kwa shule hiyo tunawachukulia kama watahiniwa wenye uwezo wa wastani wamepata daraja la kwanza la alama nane( 1.8)

Mtahiniwa mmoja ambaye kwa KEMOBOS unaweza sema ndo mtahiniwa mwenye uwezo dhaifu/mdogo au wa chini amepata daraja la kwanza la alama 9 (1.9)

Maajabu hayajaishia hapo katika watahiniwa wote 68 zaidi ya watahiniwa 32 wamenyoosha A kwenye masomo yote waliyoyafanya yani madogo hawa wamekung'uta A kuanzia hesabu hadi Kiswahili.


TETESI: Tetesi Hizi nimezipata kutoka kwa watu wa karibu kabisa wanaohudumu kwenye taasisi hii inayohusika na mitihani ya TAIFA tetesi zinadai matokeo yalikua yatangazwe siku moja baada ya yale ya kidato cha pili 2022 kutangazwa, ila yakasogezwa mbele kwa sababu zifuatazo,

1. Mtihani wa taifa 2022 hakukua na mwanafunzi wa serikali hata mmoja aliyeingia 10 bora. Wote walitoka shule binafsi(private) ambapo watano KEMOBOS, watatu Saint Francis, na wawili Fedha schools.

2.katika mtihani wa taifa 2022 hakuna shule ya serikali imegusa top 10 kinyume chake shule 10 za mwisho zilizoshika mkia ni shule za serikali sasa hii inaweza haribu sifa ya ana upiga mwingi.

Baada ya kujadili haya ambayo yangesababisha ikaonekana shule za umma hazina elimu bora hivyo kuibua mambo kadha kwa kadha kama mafao duni ya waalimu ikiwemo mishahara na nyenzo mbovu za kufundishia serikali ikaona ije na swaga kwamba "kutaja wanafunzi na shule bora hakuna tija"

3. Kuna siasa za kibiashara zimeingia zenye lengo la kuhujumu shule fulani fulani, kuna baadhi ya matajiri wa mashule wamewalipa watendaji wakuu wa Taasisi hii ili kuvuruga utaratibu ambao umeonekana unazipaisha shule fulani kibiashara .

Mtizamo wangu: Serikali isitumie nguvu nyingi kuficha madhaifu ya shule za umma lazima iyakubali ili zitafutwa mbinu za kusaidia mfano shule za private zina kanuni uwepo wa mtumishi unategemea na anavyofaurisha zaidi ya hapo hana kazi ndo sababu waalimu wa private lazima amalize topic zote zinazomhusu na ataoe mitihani mingi kuwaandaa wanafunzi hali hii ni tofauti kabisa na shule za serikali mwalimu kuingia darasani ni ishu, siku mbili bado NECTA unakuta hata nusu topic wanafunzi hawajafika.

Serikali inatakiwa iangalie namna nzuri ya kuhamisha uendeshaji wa shule za private kwenda shule za umma na sio kuficha takwimu.
View attachment 2499268View attachment 2499269View attachment 2499270
Serikali hii ya CCM ni janga la kitaifa. Kukimbia tatizo sio suluhisho, Wanapaswa kuboresha shule za kata badala ya kuzifichia udhaifu. Kuficha kilema ni upumbavu wa kiwango cha juu.
 
29.1.2023 Necta imetangaza rasmi matokeo ya kidato cha nne (CSEE) 2022, matokeo haya yamekuja na utaratibu mpya ambapo hakuna kutajwa nafasi ya shule kitaifa na kimkoa maana yake pia hakuna utaratibu wa kutaja shule zilizoongoza kitaifa sanjari na hayo NECTA imefuta utaratibu wa kutaja wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa maana yake zile mbwembwe za kwenda kupongezwa bungeni na kuitwa TO zimezikwa rasmi, Vijana wa shule kama Mzumbe, Ilboru , Kibaha na nyinginezo watakuwa hawasomi kwa mzuka tena ili kuibuka kipanga wa TAIFA(TO).Moja ya sababu iliyotajwa ni kuwa NECTA imeona kwa kutangaza shule zinazofanya vizuri inazipa promo la bure shule hizo, hapa sijui wanataka shule zianze kulipia matangazo 🤣 anyways ya NECTA tuwaachie wenyewe

Taratibu mpya za utangazaji matokeo za NECTA hazijafanya jitahada za baadhi ya shule zisijulikane, hapa nazungumzia maajabu yaliyofanywa na shule kutoka mkoani BUKOBA ijulikanayo kama KEMOBOS, shule ya KEMOBOS kama ingetokea NECTA imetangaza shule 10 bora za mwaka 2022 bila shaka hii ingeibuka kidedea. Iko hivi ndugu zangu,

KEMOBOS ilikua na watahiniwa 68 katika hao watahiniwa 68, watahiniwa 65 wamepata daraja la kwanza la alama saba(1.7) maana yake wanafunzi 68, 65 wamepata A saba na kuendelea kwenye jumla ya masomo yao.

Watahiniwa wawili ambao kwa shule hiyo tunawachukulia kama watahiniwa wenye uwezo wa wastani wamepata daraja la kwanza la alama nane( 1.8)

Mtahiniwa mmoja ambaye kwa KEMOBOS unaweza sema ndo mtahiniwa mwenye uwezo dhaifu/mdogo au wa chini amepata daraja la kwanza la alama 9 (1.9)

Maajabu hayajaishia hapo katika watahiniwa wote 68 zaidi ya watahiniwa 32 wamenyoosha A kwenye masomo yote waliyoyafanya yani madogo hawa wamekung'uta A kuanzia hesabu hadi Kiswahili.


TETESI: Tetesi Hizi nimezipata kutoka kwa watu wa karibu kabisa wanaohudumu kwenye taasisi hii inayohusika na mitihani ya TAIFA tetesi zinadai matokeo yalikua yatangazwe siku moja baada ya yale ya kidato cha pili 2022 kutangazwa, ila yakasogezwa mbele kwa sababu zifuatazo,

1. Mtihani wa taifa 2022 hakukua na mwanafunzi wa serikali hata mmoja aliyeingia 10 bora. Wote walitoka shule binafsi(private) ambapo watano KEMOBOS, watatu Saint Francis, na wawili Fedha schools.

2.katika mtihani wa taifa 2022 hakuna shule ya serikali imegusa top 10 kinyume chake shule 10 za mwisho zilizoshika mkia ni shule za serikali sasa hii inaweza haribu sifa ya ana upiga mwingi.

Baada ya kujadili haya ambayo yangesababisha ikaonekana shule za umma hazina elimu bora hivyo kuibua mambo kadha kwa kadha kama mafao duni ya waalimu ikiwemo mishahara na nyenzo mbovu za kufundishia serikali ikaona ije na swaga kwamba "kutaja wanafunzi na shule bora hakuna tija"

3. Kuna siasa za kibiashara zimeingia zenye lengo la kuhujumu shule fulani fulani, kuna baadhi ya matajiri wa mashule wamewalipa watendaji wakuu wa Taasisi hii ili kuvuruga utaratibu ambao umeonekana unazipaisha shule fulani kibiashara .

Mtizamo wangu: Serikali isitumie nguvu nyingi kuficha madhaifu ya shule za umma lazima iyakubali ili zitafutwa mbinu za kusaidia mfano shule za private zina kanuni uwepo wa mtumishi unategemea na anavyofaurisha zaidi ya hapo hana kazi ndo sababu waalimu wa private lazima amalize topic zote zinazomhusu na ataoe mitihani mingi kuwaandaa wanafunzi hali hii ni tofauti kabisa na shule za serikali mwalimu kuingia darasani ni ishu, siku mbili bado NECTA unakuta hata nusu topic wanafunzi hawajafika.

Serikali inatakiwa iangalie namna nzuri ya kuhamisha uendeshaji wa shule za private kwenda shule za umma na sio kuficha takwimu.
View attachment 2499268View attachment 2499269View attachment 2499270
Wewe ulivyobwabwaja, mbona haujagusia maelezo mengine muhimu ya "mweshimiwa" aliyetoa sababu za maana za kufuta utaratibu wa kutangaza top10?

Tena ile ya muhimu kabisa na yenye mashiko, kwamba hauwezi kuwashindanisha watoto wanaosomea katika mazingira tofauti umeiacha?

Kwa hiyo umeona uipigie Promo Kemobs, huku jambo hilo likiwa tayari limepigwa marufuku?

Kifupi unapimana ubavu na serikali, si ndiyo!

Utovu huu wa nidhamu ni kwa manufaa ya nani?
 
mi nataka kujua hivi miaka ya nyuma ,yaani miaka ya 2000yr kushuka chini walikuwa wakitangaza hizi top 10 !!??au watu mlikuwa mnajuana baada ya ku join form v huko ulikopangiwa!!
 
29.1.2023 Necta imetangaza rasmi matokeo ya kidato cha nne (CSEE) 2022, matokeo haya yamekuja na utaratibu mpya ambapo hakuna kutajwa nafasi ya shule kitaifa na kimkoa maana yake pia hakuna utaratibu wa kutaja shule zilizoongoza kitaifa sanjari na hayo NECTA imefuta utaratibu wa kutaja wanafunzi waliofanya vizuri kitaifa maana yake zile mbwembwe za kwenda kupongezwa bungeni na kuitwa TO zimezikwa rasmi.

Vijana wa shule kama Mzumbe, Ilboru, Kibaha na nyinginezo watakuwa hawasomi kwa mzuka tena ili kuibuka kipanga wa TAIFA(TO). Moja ya sababu iliyotajwa ni kuwa NECTA imeona kwa kutangaza shule zinazofanya vizuri inazipa promo la bure shule hizo, hapa sijui wanataka shule zianze kulipia matangazo 🤣 anyways ya NECTA tuwaachie wenyewe.

Taratibu mpya za utangazaji matokeo za NECTA hazijafanya jitahada za baadhi ya shule zisijulikane, hapa nazungumzia maajabu yaliyofanywa na shule kutoka mkoani BUKOBA ijulikanayo kama KEMOBOS, shule ya KEMOBOS kama ingetokea NECTA imetangaza shule 10 bora za mwaka 2022 bila shaka hii ingeibuka kidedea. Iko hivi ndugu zangu.

KEMOBOS ilikua na watahiniwa 68 katika hao watahiniwa 68, watahiniwa 65 wamepata daraja la kwanza la alama saba(1.7) maana yake wanafunzi 68, 65 wamepata A saba na kuendelea kwenye jumla ya masomo yao.

Watahiniwa wawili ambao kwa shule hiyo tunawachukulia kama watahiniwa wenye uwezo wa wastani wamepata daraja la kwanza la alama nane( 1.8)

Mtahiniwa mmoja ambaye kwa KEMOBOS unaweza sema ndo mtahiniwa mwenye uwezo dhaifu/mdogo au wa chini amepata daraja la kwanza la alama 9 (1.9)

Maajabu hayajaishia hapo katika watahiniwa wote 68 zaidi ya watahiniwa 32 wamenyoosha A kwenye masomo yote waliyoyafanya yani madogo hawa wamekung'uta A kuanzia hesabu hadi Kiswahili.

TETESI: Tetesi Hizi nimezipata kutoka kwa watu wa karibu kabisa wanaohudumu kwenye taasisi hii inayohusika na mitihani ya TAIFA tetesi zinadai matokeo yalikua yatangazwe siku moja baada ya yale ya kidato cha pili 2022 kutangazwa, ila yakasogezwa mbele kwa sababu zifuatazo,

1. Mtihani wa taifa 2022 hakukua na mwanafunzi wa serikali hata mmoja aliyeingia 10 bora. Wote walitoka shule binafsi(private) ambapo watano KEMOBOS, watatu Saint Francis, na wawili Fedha schools.

2. Katika mtihani wa taifa 2022 hakuna shule ya serikali imegusa top 10 kinyume chake shule 10 za mwisho zilizoshika mkia ni shule za serikali sasa hii inaweza haribu sifa ya ana upiga mwingi.

Baada ya kujadili haya ambayo yangesababisha ikaonekana shule za umma hazina elimu bora hivyo kuibua mambo kadha kwa kadha kama mafao duni ya waalimu ikiwemo mishahara na nyenzo mbovu za kufundishia serikali ikaona ije na swaga kwamba "kutaja wanafunzi na shule bora hakuna tija"

3. Kuna siasa za kibiashara zimeingia zenye lengo la kuhujumu shule fulani fulani, kuna baadhi ya matajiri wa mashule wamewalipa watendaji wakuu wa Taasisi hii ili kuvuruga utaratibu ambao umeonekana unazipaisha shule fulani kibiashara .

Mtizamo wangu: Serikali isitumie nguvu nyingi kuficha madhaifu ya shule za umma lazima iyakubali ili zitafutwa mbinu za kusaidia mfano shule za private zina kanuni uwepo wa mtumishi unategemea na anavyofaurisha zaidi ya hapo hana kazi ndo sababu waalimu wa private lazima amalize topic zote zinazomhusu na ataoe mitihani mingi kuwaandaa wanafunzi hali hii ni tofauti kabisa na shule za serikali mwalimu kuingia darasani ni ishu, siku mbili bado NECTA unakuta hata nusu topic wanafunzi hawajafika.

Serikali inatakiwa iangalie namna nzuri ya kuhamisha uendeshaji wa shule za private kwenda shule za umma na sio kuficha takwimu.

View attachment 2499268View attachment 2499269View attachment 2499270
Knowladge & skills matters more than scoring. Nadhani debate ingeanzia hapo, kwanini tunawasomi wengi ambao hawana msaada?
 
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto😂😂,
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula🤷‍♂️
mbona hujawataja kina mwigulu nchemba?makamba,ridhiwani nk
 
Mazoea hujenga tabia. Huu utaratibu wa number ndo unashhusha quality ya elimu. Hauwi problem solving based. Yaani ni banking model inatumika. Pump watoto hadi lieleweke. Ndo maana mtoto wa form One anjifunza mambo ya form 3. Sasa huyo atapataa muda wa kujadili mada viz a viz inavyoweza kumsaidia kubadili mazingira yaliyomzunguka? Mwishowe anabaki facts za kukaririishwa tu. By january sylabus imeisha. Unafanya mitihani tu. Ukifika mtihani wa taifa you have met all possible questions. Hii model ya elimu ni mbaya sana. Inaagalia elimu kama accumulation of facts and not how those facts can change our own situation. Ndio maana katika nchi za wenzetu equivalent graduate na mtanzania ni mbingu na dunia. They are very skilled and competent. We have papers.
 
Back
Top Bottom