Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Hawa Helsb Mambo yao mengi hayana uwazi.Kuna sakata linaendelea chinichini juu ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoendelea na masomo (continuous) kuongezewa Ada,ama kupunguziwa MA(Boom) ,Sasa bodi ya mikopo iweke wazi kuondoa mianya ya rushwa na upigaji wa Ela za wanafunzi!!
Kweli mkuu ni kasheshe😅Hawa Helsb Mambo yao mengi hayana uwazi.
Maisha yatakua magumu vijana wanahitaj sapoti ya Wazazi sasaNasikia mpaka kesho vyuo vyote nchini vinaanza masomo ila Heslb hawajatuma pesa za MA kwa chuo chochote, Sasa sijui wanataka wanafunzi waishi vp..!!!
We umeangalia SIPA yako?Kweli mkuu ni kasheshe😅
First year?Mdogo wangu yuko dilemma sasa inaenda wiki ya pili mkopo holaa!! Eti trh 4 huku masomo yanaanza trh 31
SIPA ndo mdudu gan😅😅We umeangalia SIPA yako?
Yako ya HelsbSIPA ndo mdudu gan😅😅
Apo Kati anasomaje Sasa?Mdogo wangu yuko dilemma sasa inaenda wiki ya pili mkopo holaa!! Eti trh 4 huku masomo yanaanza trh 31
Apewe hela ya kula huku anasubiri Huruma ya HelsbApo Kati anasomaje Sasa?
We acha tu tumemtumia za kuanziaApo Kati anasomaje Sasa?
Wahuni wako bize na SamiaScholarship Yani Siasa tuuApewe hela ya kula huku anasubiri Huruma ya Helsb
Sema hawa Jamaa wanajisahau sana
Ao Samia wana fungu lao Bil 03 kilichopo muda huu wanapiga Cha kwao mapemaWahuni wako bize na SamiaScholarship Yani Siasa tuu
Nikikumbuk vile mwaka juzi walituwekea Allocation za miaka yote mitatu...lkn mwaka jana wakaja kubadili...Nachoka kbs.Kuna sakata linaendelea chinichini juu ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoendelea na masomo (continuous) kuongezewa Ada,ama kupunguziwa MA(Boom) ,Sasa bodi ya mikopo iweke wazi kuondoa mianya ya rushwa na upigaji wa Ela za wanafunzi!!
Inakuaje Yani miak mitatu , allocation inabadilika amout mwak wa tatu ama?Nikikumbuk vile mwaka juzi walituwekea Allocation za miaka yote mitatu...lkn mwaka jana wakaja kubadili...Nachoka kbs.
Vigezo vya kuongezewa Ada ni vipi?Kwa baadhi ya second year ada imeongezwa. Mungu ni mkuu!
Bro una supplementaryKuna sakata linaendelea chinichini juu ya baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoendelea na masomo (continuous) kuongezewa Ada,ama kupunguziwa MA(Boom) ,Sasa bodi ya mikopo iweke wazi kuondoa mianya ya rushwa na upigaji wa Ela za wanafunzi!!