Le professel
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 636
- 960
🤣🤣 Ni above 3.5 mkuu.Au sio ,umepiga gpa ya ngap mkuu?na mwanzo ulikua na asilimia ngap?
Sio kibwa hata, nadhani wamerejelea kwenye sifa za mwombaji wakaona wanibless.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Ni above 3.5 mkuu.Au sio ,umepiga gpa ya ngap mkuu?na mwanzo ulikua na asilimia ngap?
🤣🤣 Ni above 3.5 mkuu.
Sio kibwa hata, nadhani wamerejelea kwenye sifa zamwombaji wakaona wanibless.
Hahah saw sawa below 3.5 hamna nyongeza,chuo sio pa starehe Mana Ela za bodi wanakula Bata badala ya kukaza kitabu🤣🤣 Ni above 3.5 mkuu.
Sio kibwa hata, nadhani wamerejelea kwenye sifa za mwombaji wakaona wanibless.
UDSMUpo chuo gani?
Allocation za 2022/2023 Bado hawajatoa kwa wanafunzi wengi continuous wakitoa ntaleta mrejesho mzuriHahah saw sawa below 3.5 hamna nyongeza
UDSM
Sawa sawa nn tatzo Sasa,au wanakula bichwa?Allocation za 2022/2023 Bado hawajatoa kwa wanafunzi wengi continuous wakitoa ntaleta mrejesho mzuri
😅😅😅Hawaongez wanapunguza, Kwan wakikupa 100% si unapew boom na Ada tu au Kuna mpya?Boom hawajaongeza?
Jipya lipo😅😅😅Hawaongez wanapunguza, Kwan wakikupa 100% si unapew boom na Ada tu au Kuna mpya?
😅😅Lipi ,kuhus special faculty req inabadilika,stationary fee je ?Jipya lipo
Yeah, kwa UDSM wamepunguza.Baadhi ya vyuo ,system umezngua boom limekatwa ikoje hii?
Hapana mkuu, ni Ada na Boom tu.Na Ela za field unapewa?
Then inategemea Mkuu hila mostly wanaongezaga Ada tu.Hapana mkuu, ni Ada na Boom tu.
Yeah, si kwa watu wengi....Kuna jamaa zangu pia bado wanasema hakuna kitu.Allocation za 2022/2023 Bado hawajatoa kwa wanafunzi wengi continuous wakitoa ntaleta mrejesho mzuri
Sasa apo itabidi vyuo visogeze ratiba mbeleYeah, si kwa watu wengi....Kuna jamaa zangu pia bado wanasema hakuna kitu.
Noma sana.Sasa apo itabidi vyuo visogeze ratiba mbele
Kiuhalisia Ela za field Kuna watu walioongezewa ?Then inategemea Mkuu hila mostly wanaongezaga Ada tu.